upupu255
Senior Member
- Sep 4, 2024
- 119
- 144
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Halima Mamuya amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan hatakuwa na mpinzani katika uchaguzi mkuu wa 2025 kwa sababu licha ya kwamba ni Rais lakini pia ni Mama mlezi wa Taifa.
Amesema kutokana na falsafa ya Rais Samia ya 4Rs nchi itabaki kuwa na Amani tofauti na nchi nyingine ambazo zimekuwa zikiingia kwenye vita
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ameyasema hayo leo Februari 19, 2025 Jijini Arusha wakati wa hafla ya Uhamasishaji wa kutoa Elimu ya Nishati safi kwa Viongozi wa Baraza la Wazee Jijini humo iliyoandaliwa na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mhe. Mrisho Gambo.
Aidha katika hafla hiyo Wazee wa baraza hilo wamekubaliana kuunga mkono maamuzi ya Chama cha Mapinduzi CCM kumteua Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais Dkt. Hussein Mwinyi na Emmanuel Nchimbi kuwa wagombea.
Amesema kutokana na falsafa ya Rais Samia ya 4Rs nchi itabaki kuwa na Amani tofauti na nchi nyingine ambazo zimekuwa zikiingia kwenye vita
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ameyasema hayo leo Februari 19, 2025 Jijini Arusha wakati wa hafla ya Uhamasishaji wa kutoa Elimu ya Nishati safi kwa Viongozi wa Baraza la Wazee Jijini humo iliyoandaliwa na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mhe. Mrisho Gambo.
Aidha katika hafla hiyo Wazee wa baraza hilo wamekubaliana kuunga mkono maamuzi ya Chama cha Mapinduzi CCM kumteua Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais Dkt. Hussein Mwinyi na Emmanuel Nchimbi kuwa wagombea.