Pre GE2025 Mjumbe UVCCM Taifa: Vijana tuna jukumu la kutafuta kura za Dkt. Samia

Pre GE2025 Mjumbe UVCCM Taifa: Vijana tuna jukumu la kutafuta kura za Dkt. Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM Taifa (Viti Vitatu bara) Ndg. Shamira Mshangama amepokelewa katika Wilaya ya Musoma mjini, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa Jumuiya ya Vijana wa CCM katika mikoa, Wilaya, kata, matawi na shina kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu 2025.

Ndg @shamiramshangama baada ya kufika mkoani Mara alihudhuria BARAZA la Umoja wa Vijana wa CCM katika Wilaya ya Musoma mjini Kama Mgeni Rasmi ambapo alipata wasaa wa kuzungumza na Wajumbe wa Baraza la Umoja wa Vijana katika Wilaya ya Musoma mjini na kuwaasa kuendelea kukijenga Chama kwa Uzalendo ili kuhakikisha ushindi wa kutosha kwa Chama Cha Mapinduzi katika Uchaguzi mkuu 2025 kwa kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan, Wabunge na madiwani wa CCM kwa kura nyingi na za kishindo zaidi

Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Alisisitiza “Vijana tuna jukumu la kutafuta kura za Samia na wagombea wengine wa CCM. Hivyo ni wajibu wetu kuweka mipango ya kutosha juu ya kuzitafuta kura za CCM”.

Sambamba na hayo Ndg. Shamira alipata wasaa wa kutembelea na kukagua ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa Jumuiya ya Umoja wa vijana (katibu) inayoendelea kujengwa, pamoja na kuchangia shilingi milioni 1, alihimiza uwajibikaji na usimamizi mzuri ili kukamilisha ujenzi kwa wakati.

Screenshot 2025-02-15 174959.png

Screenshot 2025-02-15 174938.png
 
Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM Taifa (Viti Vitatu bara) Ndg. Shamira Mshangama amepokelewa katika Wilaya ya Musoma mjini, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa Jumuiya ya Vijana wa CCM katika mikoa, Wilaya, kata, matawi na shina kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu 2025.

Ndg @shamiramshangama baada ya kufika mkoani Mara alihudhuria BARAZA la Umoja wa Vijana wa CCM katika Wilaya ya Musoma mjini Kama Mgeni Rasmi ambapo alipata wasaa wa kuzungumza na Wajumbe wa Baraza la Umoja wa Vijana katika Wilaya ya Musoma mjini na kuwaasa kuendelea kukijenga Chama kwa Uzalendo ili kuhakikisha ushindi wa kutosha kwa Chama Cha Mapinduzi katika Uchaguzi mkuu 2025 kwa kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan, Wabunge na madiwani wa CCM kwa kura nyingi na za kishindo zaidi

Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Alisisitiza “Vijana tuna jukumu la kutafuta kura za Samia na wagombea wengine wa CCM. Hivyo ni wajibu wetu kuweka mipango ya kutosha juu ya kuzitafuta kura za CCM”.

Sambamba na hayo Ndg. Shamira alipata wasaa wa kutembelea na kukagua ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa Jumuiya ya Umoja wa vijana (katibu) inayoendelea kujengwa, pamoja na kuchangia shilingi milioni 1, alihimiza uwajibikaji na usimamizi mzuri ili kukamilisha ujenzi kwa wakati.
View attachment 3237140
View attachment 3237141
Kinyago cha mpapure hakiuziki na halina thamani
 
Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM Taifa (Viti Vitatu bara) Ndg. Shamira Mshangama amepokelewa katika Wilaya ya Musoma mjini, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa Jumuiya ya Vijana wa CCM katika mikoa, Wilaya, kata, matawi na shina kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu 2025.

Ndg @shamiramshangama baada ya kufika mkoani Mara alihudhuria BARAZA la Umoja wa Vijana wa CCM katika Wilaya ya Musoma mjini Kama Mgeni Rasmi ambapo alipata wasaa wa kuzungumza na Wajumbe wa Baraza la Umoja wa Vijana katika Wilaya ya Musoma mjini na kuwaasa kuendelea kukijenga Chama kwa Uzalendo ili kuhakikisha ushindi wa kutosha kwa Chama Cha Mapinduzi katika Uchaguzi mkuu 2025 kwa kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan, Wabunge na madiwani wa CCM kwa kura nyingi na za kishindo zaidi

Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Alisisitiza “Vijana tuna jukumu la kutafuta kura za Samia na wagombea wengine wa CCM. Hivyo ni wajibu wetu kuweka mipango ya kutosha juu ya kuzitafuta kura za CCM”.

Sambamba na hayo Ndg. Shamira alipata wasaa wa kutembelea na kukagua ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa Jumuiya ya Umoja wa vijana (katibu) inayoendelea kujengwa, pamoja na kuchangia shilingi milioni 1, alihimiza uwajibikaji na usimamizi mzuri ili kukamilisha ujenzi kwa wakati.
View attachment 3237140
View attachment 3237141
Kwani hazipo!!?mbona serikali za mitaa zilipatikana!!?
 
tumetoka kwenye siasa za hoja na malengo ya nini mtu atakifanya tumeingia kwenye siasa za nani tumfanyie uchawa inasikitisha sana.
 
Akili zote za CCM zinafanana, HAKUNA anayewaza KUHUSU changamoto za wananchi, wao wanachowaza ni hicho Tu, kuiba kura ili wabakie madarakani, waibe basi
 
Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM Taifa (Viti Vitatu bara) Ndg. Shamira Mshangama amepokelewa katika Wilaya ya Musoma mjini, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa Jumuiya ya Vijana wa CCM katika mikoa, Wilaya, kata, matawi na shina kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu 2025.

Ndg @shamiramshangama baada ya kufika mkoani Mara alihudhuria BARAZA la Umoja wa Vijana wa CCM katika Wilaya ya Musoma mjini Kama Mgeni Rasmi ambapo alipata wasaa wa kuzungumza na Wajumbe wa Baraza la Umoja wa Vijana katika Wilaya ya Musoma mjini na kuwaasa kuendelea kukijenga Chama kwa Uzalendo ili kuhakikisha ushindi wa kutosha kwa Chama Cha Mapinduzi katika Uchaguzi mkuu 2025 kwa kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan, Wabunge na madiwani wa CCM kwa kura nyingi na za kishindo zaidi

Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Alisisitiza “Vijana tuna jukumu la kutafuta kura za Samia na wagombea wengine wa CCM. Hivyo ni wajibu wetu kuweka mipango ya kutosha juu ya kuzitafuta kura za CCM”.

Sambamba na hayo Ndg. Shamira alipata wasaa wa kutembelea na kukagua ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa Jumuiya ya Umoja wa vijana (katibu) inayoendelea kujengwa, pamoja na kuchangia shilingi milioni 1, alihimiza uwajibikaji na usimamizi mzuri ili kukamilisha ujenzi kwa wakati.
View attachment 3237140
View attachment 3237141
Vijana tunataka kura za wazi huru na za haki za kufosi tumezichoka,zile za bao za mikono hivyo tutasimamia ziwe huru haki na za uwazi kama zili zilizochagua mwenyekiti wa jirani basi.Huo ndio msimamo wa vijana waliozinduka toka usingizini,kwa yanayotuthibu hii leo.
 
Back
Top Bottom