Mjumbe wa Baraza la Maulamaa na Imamu wa Msikiti wa Manyema, amewageukia wanaokataa kura ya wazi.


Huyu Shekhe ni kibaraka wa Maccm! Na hapo ndio naamini ccm wamejazana mle!
Kikwete mbona unajisuta? Si wewe ukietaka katiba mpya!
Sasa mbona umejaza wapuuzi mle?
 
Kura ya kificho ni uhuni kwani tunaficha nini mangapi tumefanya wazi watanzania wanataka kuona mchakato wote hakuna kificho hapo.

Aisee! Kweli CCM mmenyweshwa maji ya bendera! Yani hata mbuturi matari wa mitaani ndio msee!
 

Wale waleee!
Ivi CCM ni lini mtajiamini?
Hizi hila zenu zinahatarisha maisha ya watu!
Ivi kuna kura ya wazi kweli?
 
Hivi msikiti mkuubwa kuliko yote Tanzania uko wapi.. Ndio ule wa Kwa Mtoro?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…