Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 416
- 414
Mjumbe wa kamati ya Kanda ya Pwani,ya Shirikisho la Riadha Tanzania (AT) Bw. Robert Kalyahe Amefyekelewa Mbali na Kamati ya Uchaguzi, baada ya kukiuka kanuni za katiba ya RT inayokataza mgombea mwenye historia ya kufungwa Jela zaidi ya Miezi Sita.
Adumu kwa siku 15 tu.
Adumu kwa siku 15 tu.