Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Sarakasi za Uchaguzi wa CHADEMA zinaendelea kuwa moto.
Akiwa anaongea siku ya leo, moja ya mjumbe wa mkutano mkuu CHADEMA aliyrjitambulisha kama Wilfred Alfred Mgina amesema kuwa amenyang'anywa uhalali wa kupiga kura kwenye Uchaguzi na nafasi yake kupewa mtu mwingine.
Wilfred amesema kuwa pamoja na kupokea message kumuhakikishia kuwa atahudhuria mkutano huo kama mpiga kura lakini mara alipofika Mlimani City aligundua kuwa hakuwa na haki ya kupiga kura na kwamba nafasi yake ya ujumbe alipewa Mjumbe mwingine aliyeitwa Blessing Barabara
Mgina amesema kuwa ili kupata haki yake alienda kwa Ezekiel Wenje ili akasaidiwe kupiga kura, Wenje alimpeleka kwa Kigaila ambaye alisema kuwa jambo hilo liko nja uwezo wake
Sarakasi za Uchaguzi wa CHADEMA zinaendelea kuwa moto.
Akiwa anaongea siku ya leo, moja ya mjumbe wa mkutano mkuu CHADEMA aliyrjitambulisha kama Wilfred Alfred Mgina amesema kuwa amenyang'anywa uhalali wa kupiga kura kwenye Uchaguzi na nafasi yake kupewa mtu mwingine.
Wilfred amesema kuwa pamoja na kupokea message kumuhakikishia kuwa atahudhuria mkutano huo kama mpiga kura lakini mara alipofika Mlimani City aligundua kuwa hakuwa na haki ya kupiga kura na kwamba nafasi yake ya ujumbe alipewa Mjumbe mwingine aliyeitwa Blessing Barabara
Mgina amesema kuwa ili kupata haki yake alienda kwa Ezekiel Wenje ili akasaidiwe kupiga kura, Wenje alimpeleka kwa Kigaila ambaye alisema kuwa jambo hilo liko nja uwezo wake