Pre GE2025 Mjumbe wa UWT Hawa Ghasia: Wakina mama tunafanya zaidi ya wanaume. Baada ya Samia, aje tena Rais Mwanamke!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Hawa Ghasia kimemkuta nini? Mbona alikuwa ni mtu safi tu kipindi ni Mbunge wa Mtwara vijijini?

CCM angalieni sana watu wa kusemea chama chenu.

Nimewaza sana mwanaume angeinuka na kusema kitu kama hiki wafeminia wangehemka kiasi gani

============================================

Akizungumza hivi karibuni pale Clouds FM Hawa Ghasia ambaye alikuwa ni Mbunge wa zamani wa Mtwara Vijijini na ambaye kwa sasa ni Mjumbe wa Kamati ya UtekelezajI UWT - Taifa amesema kuwa anatamani kuona Rais anyefuata ni mwanamke


Your browser is not able to display this video.
 
Politicians bwana, all they want is jinsia fulani but not uwezo
 
Wanaofanya vizuri hawahitaji kupitishwa kinyemela kugombea Urais! Fungueni dirisha la kuchukua fomu kwa kila mwanachama tuone!
 
dah sijui wanajisikilizaga eti kuna mwanaume mmoja sasa huyo mtu mmoja kati ya watu milioni 60+ wazolake nae lina mpagawisha nani labda...... watu wanajipalilia ila nijuavyo mcc kwamoto sana
 
Sawa....nawachagulia mumpe ggy money au mashalove

Ova
 
Takataka Kama hizi Bora zipumzike tu. Anaongea utumbo mtupu
 
Huko Queen Sendiga huku Hawa Ghasia, kazi kwelikweli safari hii.
 
Akizungumza hivi karibuni pale Clouds FM Hawa Ghasia ambaye alikuwa ni Mbunge wa zamani wa Mtwara Vijijini na ambaye kwa sasa ni Mjumbe wa Kamati ya UtekelezajI UWT - Taifa amesema kuwa anatamani kuona Rais anyefuata ni mwanamke
Huyu si alichomewa nyumba kwasababu ya ghasia zake za kijinga kama hizi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…