Mjuzi wa mafriji haya

Salahan

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
2,963
Reaction score
3,685
Tunacheza na fursa! Kulingana na joto kuongezeka mjini vinywaj baridi vimekuwa katika uhitaji mkubwa. Niliwaza kuwa na friza lakini nikagundua mali iliyoko haitamtamanisha mpita njia kwa maana hayana kioo, nikawaza yale ya makampuni ya vinywaji ambayo unapewa kwa masharti ikiwa ni pamoja na kuto kuchanganya vinywaji vya makampuni mengine.

Hili lenye milango mitatu ndilo lililoko akilini mwangu kwa sasa ila sijajua changamoto zake ukilinganisha na mengine.




 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…