Mkaa na kuni bado vinatumika sana tu

Mkaa na kuni bado vinatumika sana tu

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
3,411
Reaction score
4,435
Hii kampeni yenu mngetaka ifanikiwe mgefanya mnavyojua bei ya gesi ishuke, Kwa mtungi mdogo iwe 15000 kama kipindi cha MUHESHIMIWA, RAIS, DAKTARI JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI, yeye aliwezaje?

Matumizi ya kupikia kwaa Gesi na Umeme bado ni vitu LUXURY! bei zipo juu Sana huwez kumshawishi mtu aache kupikia kuni aingie mahasara yasio na maana.
Screenshot_20250213_133512_Instander.jpg


Watanzania kuna sehemu tumekosea hii ni kama adhabu tunapewa.

Naskia haya majiko yanatoa Moto wenye picha ya Mama.
 
Shida kampeni Yao nahisi waliianzisha bila kujipanga no kama vile imefocus kidogo kwa watu wa mijini (kwa asilimia kidogo sana) maana uwe hamasisha matumizi ya gesi na umeme wakati unazidi kuvilimbikizia makodi yanayopelekea mtumiaji wa mwisho kuipata kwa gharama kubwa kuliko mkaa na Kuni.
 
Akili zao ni JANGA Kwa taifa
Hii kampeni yenu mngetaka ifanikiwe mgefanya mnavyojua bei ya gesi ishuke, Kwa mtungi mdogo iwe 15000 kama kipindi cha MUHESHIMIWA, RAISI, DAKTARI JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI, yeye aliwezaje?? Matumizi ya kupikia kwaa Gesi na Umeme bado ni vitu LUXURY! bei zipo juu Sana huwez kumshawishi mtu aache kupikia kuni aingie mahasara yasio na maana.
View attachment 3235352

Watanzania kuna sehemu tumekosea hii ni kama adhabu tunapewa.

Naskia haya majiko yanatoa Moto wenye picha ya Mama.
 
Kweli kabisa ilitakiwa walegeze kidogo upande huo wa hizo nishati Gesi na Umeme, bei ya unit ishuke waone kama wasingefanikiwa
Shida kampeni Yao nahisi waliianzisha bila kujipanga no kama vile imefocus kidogo kwa watu wa mijini (kwa asilimia kidogo sana) maana uwe hamasisha matumizi ya gesi na umeme wakati unazidi kuvilimbikizia makodi yanayopelekea mtumiaji wa mwisho kuipata kwa gharama kubwa kuliko mkaa na Kuni.
 
Kweli kabisa ilitakiwa walegeze kidogo upande huo wa hizo nishati Gesi na Umeme, bei ya unit ishuke waone kama wasingefanikiwa
Zikishuka bei ata hizo wanazogawa Bure hawatazigawa tena watu watazinunua wenyewe
 
Kununua mtungi wa gas na gas yake sio shida, changamoto ipo kwenye running cost.

Kama tunavyojua familia zetu za kitanzania tunaishi kwa kutegemeana (Extended family).
Familia ina watu 6, upike Asubuhi, mchana na usiku (Tuassume hakuna mtoto mdogo wa kupikiwa mid meals).

Kwa mtungi mdogo hautoboi mwezi 1
Gharama ya kurefill approx. 25,000/=
Kwa hizi familia zetu tutatoboa? Au ndo gas ikiisha tunahamia kwenye mkaa na kuni zetu.

Gharama ya kujaza gas ingepungua ili kumwezesha Mtanzania halisi kumudu ili kwenda sawa na kampeni ya Taifa ya nishati safi.

NOTE: Vijijini upatikanaji wa kuni na mkaa ni rahisi na bure ama kwa gharama kidogo sana.

Mijini upatikanaji wa kuni na mkaa pia sio kwa gharama kubwa na unajipimia kulingana na uwezo wako, una 500/1000 hushindi njaa kwa kukosa nishati ya kupikia.
 
Hawa jamiiforums wasije watafuta Uzi huu nao siwaelewagi
Ukikataza mkaa na kuni maana yake umekataza tuzipande miti.
Kuna vyakula kama makande na vyakula kama msasa (nsasa) wanyamwezi na wasukuma huuchemsha kwa siku2 ama zaidi ni kama kusindika ili ukae kwa muda mrefu hata miaka6 unakuwa bado mzuri na unafaa kwa matumizi.
 
Napenda kutumia mkaa kupikia naona chakula kinakua vizur gesi naona kama naparuza tu
 
Back
Top Bottom