Unajua wakulima wengi ni watu wa vijiji vya karibu nap wani,na mwani sio kama mpunga kwamba utalimisha.
Kwa Zanzibar wanalima wao wenyewe na mostly 98% ni kina mama.
Kuna vyama vya ushirkina amabvyo wamejiunga ndio wanauza,ila pia wapo mmoja mmoja wanauza,lengo la kujiunga ilikuwa ni kupata soko.
Sasa inategema ntaka mwani:
-Mkavu kama ulivyo
-Uliosagwa(unga)
Fafanua zaidi