Nimekuwahi basi ukibalehee tu..wakikutongoza waambie ushawahiwa.22 Niko na Mtoto miaka 5....
Sijui wewe hata ndevu hujaota
Watakuja kusoma hapa. ...Nimekuwahi basi ukibalehee tu..wakikutongoza waambie ushawahiwa.
haha.. ...wewe.Watakuja kusoma hapa. ...
Hahaha. .....mimi!haha.. ...wewe.
22 kumbe bado mutoto kabisa22 Niko na Mtoto miaka 5....
Sijui wewe hata ndevu hujaota
Kidogo umri unafaa [emoji1] [emoji1]30-40
Asee kumbebbade ndiyo anabalehe
Hapana niko double hiyo. ..22 kumbe bado mutoto kabisa
HahahaHapana niko double hiyo. ..
When I was 22 ndio nilikuwa na baby wa 5yrs....kwa sasa nina wajukuu 3.[emoji6][emoji6][emoji6]
Ndevu za eneo gani sasa?22 Niko na Mtoto miaka 5....
Sijui wewe hata ndevu hujaota
FacialNdevu za eneo gani sasa?
Mbona mimi nikikutabiria kuwa chura ipo huwa husemi nimekupatia?....Rafiki acha rohoo mbaya na mimi!
Mh...atakuwa ni mstaafuFaiza Foxy-95
Faiza Foxy-95