Mkaka, good looking, sweet, civilized, msomi na anaejielewa company yake inahitajika !!!

shosti lara 1hebu kuwa muwaz ni weye unayesearch au kn shosti wamsaidia? Bt kwenye kipengele cha kuwaza game al the time akiangalie tena!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa! Kumbe upo in your own fishing!!!! LOLEST! Zina PICHA? Lazima nguvi za KIILUMINANTI ZIMEHUSIKA!!!! LOLEST!!! Wenzio wanajua FREEMANSON!!!

Mie nashangaa PM zamimika kwangu
Umewaambia nini hawa watoto wa kike.
 
shosti lara 1hebu kuwa muwaz ni weye unayesearch au kn shosti wamsaidia? Bt kwenye kipengele cha kuwaza game al the time akiangalie tena!
Aaaaaaah! Shosti, mi NIKO NA MCHAGA BANA !!!!! Si nimeelezea hapo juu kuwa kuna mtu anahitaji, na sifa nimetoa!!! Alafu mnakuza sana mambo mtu anatafuta COMPANY YA KUCHAT!!! LOL!
 
Mwanaume wa sifa zote hizo awe anamsubiri yeye?!!

Anyway subiri kesho siku ya kazi wataku pm na computa za ofisini.
We si unataka mwenye kazi!!.
 


I am addicted to your posts..lol
 
Aaaaaaah! Shosti, mi NIKO NA MCHAGA BANA !!!!! Si nimeelezea hapo juu kuwa kuna mtu anahitaji, na sifa nimetoa!!! Alafu mnakuza sana mambo mtu anatafuta COMPANY YA KUCHAT!!! LOL!

lara 1 Una maana anatafuta candidate wa u zombieeeeeeeeeee
 
hivi waijua gia ya four wheel? basi tumia hiyo utampata..........wenzio tunatumiaga stail hiyo tunawin lol!
 
Kizuri chajiuza ki........ chajitembeza. poleeee weye!!!!
 
lara 1 Una maana anatafuta candidate wa u zombieeeeeeeeeee

Watu wagumu kuelewa!!! Yaani mentor ingekuwa mie niweke vigezo hivo? Try this!!!

1. Account iliyonona bank za maana, City Bank, Stanbic Bank (executive banking), Standard Chattered ikiwezekana iwe $$$$$$$

2. Mwenye jumba lenye swimmingpool na Jaccuzzi, bar counter yenye collection special ya mivinyo adimu sebuleni.

3. Nilipiwe bili za Yoga, Massage, Golf course na nilipiwe membership ya Daresalaam Yatch Club

4. NGOJA NIISHIE HAPO KWENYE DAILY EXPENSES MANAKE NIKIENDA PROPERTY WATU WATAKAUKIWA MATE KWA KUSONYAAAA!!! LOL!

Upo mentor hapo?
 
hivi waijua gia ya four wheel? basi tumia hiyo utampata..........wenzio tunatumiaga stail hiyo tunawin lol!

Ndo ipi tena? IMENIPITA HIYO AISEEE!!!! Embu nipatie fasta isijekuwa niko outdated!!!!
 
Kizuri chajiuza ki........ chajitembeza. poleeee weye!!!!

Hahahaaaaaa! Utabakia hivo hivo sie twasoma PM tu huku!!! LOL! Umekosea jukwaa nini? LOLEST!!!
 
Ndo ipi tena? IMENIPITA HIYO AISEEE!!!! Embu nipatie fasta isijekuwa niko outdated!!!!

hiyo tunaitumia magwiji na inawork ile mbaya kwanza umeshamsoma gud luking gay anayetafuta cute gal? hebu msome kwanza kisha haya nitakupa baadae lol!
 

Mh! Halafu hapo kwa urafiki tu!

Mie ninao wengi kwenye waiting list, tena wanaongoja kufanya kweli si just friend!
 
Mwanaume wa sifa zote hizo awe anamsubiri yeye?!!

Anyway subiri kesho siku ya kazi wataku pm na computa za ofisini.
We si unataka mwenye kazi!!.

Hata dada mwenyewe ana sifa zake za kutosha ndo maana kademand hizo standards!!!!! LOL! Smthn good for something good!!!!
 

ungemalizia na total card worth 10 mil kwa ajili ya fueling ya gari yako lol!
 


unaweza nikumbusha yatch club membership now kiasi gani?
just curious
 
Mh! Halafu hapo kwa urafiki tu!

Mie ninao wengi kwenye waiting list, tena wanaongoja kufanya kweli si just friend!

Hahahaaaaa! Its a free world Bana! You can do whatever the hell you want!!!! LOL! Hata ukiamua kuweka thread unagawa dozi kwa totoz kali zitaku pm tuuu! LOL! Kila mtu anavoamua kutumia maisha yake!!!
 
Ukiwa mkaka wa sifa hizo
huwezi kuwa bored lol

labda uwe ugly saana
otherwise uko full booked most of time lol

Yea, kwanza ya nini yote kuwa na "mwanamke" ambaye ni bored?
If you're bored then you're boring.
 
Yea, kwanza ya nini yote kuwa na "mwanamke" ambaye ni bored?
If you're bored then you're boring.

isn't it funny kwamba watu wanakuja na mabango
with conditions??

while the fact kwamba inabidi uweke bango it simply means
hauko that in demand?
 
Reactions: EMT

Unakula commision asilimia ngapi?? Nways wacha nijaribu bahati yangu. Who knws??

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…