unaweza nikumbusha yatch club membership now kiasi gani?
just curious
Nillikua kwa Mbuzi mzee kule kidogo, kuna membership mbali mbali kama diving club, fishing club, yatch club na zinginezo zote chini ya DYC, sasa we curiosity yako ipo kwenye ipi?
both and each
if u dont mind
isn't it funny kwamba watu wanakuja na mabango
with conditions??
while the fact kwamba inabidi uweke bango it simply means
hauko that in demand?
Umenigeuza secretary!!!! Haya ingia website yao www.daryatchclub.com/section unayotaka UTAPATA KILA KITU!!!! Kuna contacts pia humo usiporizika, mie narudi kwa MBUZI MZEE!!!!
Women like the opposite of what they say they want until they have it and then they want the opposite of that.
Hahhaaaaaaaaaaa! Shark bwana! Wewe FUPA LIMEWASHINDA FISI WEWE MMBWA CHIWAWA UTALIWEZA KWELIIIII!!! WE IGA KUNYA KWA TEMBO!!! LOL! Bora hata ungekuwa GERMANSHERPHAD angalau!!!!
exactly..
hiyo website naijua na nilikosa hizo infos
si useme tu
membership ni kiasi hiki kwa mwaka
whats the big deal?
ILA IM NOT A MEMBER YET!!!! (Dare to dream!) So siwezi kujua sana, ndo nikipata muwezeshaji anilipie!!!! LOL! (CHEZEA KUWA MEMBA WA YATCH CLUB HUKU HATA MTUBWI SINAAA! LOLEST!!!) Mi nilifatilia ya Diving course Boss Diaspora ni member yeye ndo alilniletea PDF ya cost NILITOKAJE FASTAAAA! LOL!
The course fees are as follows:
Ila kama unataka si UWASILIANE NAO TUUUU!
- Open Water $480 (eLearning $130 + practical $350)
- Advanced Open Water $355
- Rescue Diver $480 (eLearning $130 + practical $350)
- EFR First Aid $120
- EFR First Aid Refresher $80
"Anatakiwa mtu ambaye maybe nae yuko bored na maisha" - She, in fact, wants the opposite.
"ajabahatika kupata the one" - Bikira siyo? Really?
"au nae kapewa cha mbavu soon!" - without even known the actual reason ya kupewa cha mbavu?
"na ANGEPENDA kuenjoy new company ya huyu dada, for chatting na kubadilishana mawazo tu!" - Mhm. Unless she's looking for a gay.
Can a woman and a man be just friends? Where is Nyani Ngabu?
Hodi hodi humu ndani!!!!
Hahahaaaaa! Sijawahi post humu! Aluuuuuuuuu!
:focus: Kuna dada mmoja, ile formular ya substitution imemkuta soon, sasa yupo bored kinomaaa! Anaona dunia imesimaa! She was outside the market for too long, she has forgotten the husttles!!!! LOL! Sasa mimi nataka kumuonesha there are FEW GOOD MEN LEFT!!! LOL!
Anatakiwa mtu ambaye maybe nae yuko bored na maisha anahitaji company, au hajabahatika kupata the one( its worth a trial), au nae kapewa cha mbavu soon! na ANGEPENDA kuenjoy new company ya huyu dada, for chatting na kubadilishana mawazo tu! Mkielewana mengine mi simoooo!(U never know till you know) LOL! Purpose kubwa ni WEWE HUNA MTU ANAEKUKIP BUSY, NAE YUPO BORED, SASA NYIE HAPO MNAKIPIANA BUSY.Ishu ni kuwa friends na kupunguza boredom!!!!!
SIFA ZA MDADA!!!
Good looking, si mnene wala si mwembamba.
Ana kaelimu ka degree,
Ana kakazi cha kubadili mboga
Mcha Mungu!!!(sio lara 1 zee la kuchop chop)
Interesting (Huboreki ukikaa nae)
Good mannered (Sio wa kishua, ila sio wa uswazi)
Anaheshimu kila mtu.
Age 24yrs, Weight 64Kg, Height ya kati
MKAKA ANAYETAKIWA
Good looking( LAZIMA UJIAMINI MWENYEWE)
Msomi
Kazi muhimu
Mcha Mungu (sio mzugaji)
Good Mannered
Anaejielewa (sio kuwaza game tu mda wote!!!)
Mwenye busara zake
Age 25 to 30, Tall.
IF YOUR INTERESTED PM ME, NA MSHAWISHI KUWA YOU ARE THE COMPANY!!! LOL! COZ TUKO NAE HAPA ATAKUWA ANASOMA NA AKIRIZIKA ATAKU PM NAMBA YAKE!!! LOL!
WALE MBA ( MARRIED BUT AVAILABLE!!!!!) HAMHITAJIKI!!!!!! LOLEST!!! Divorced, engaged, in relationship, HAMHITAJIKI PIA!!! LOL! Hatutaki kesi sie!!!!
Fake IDS hazitazingatiwa LOL!!! Manake mtu ID ya dily unaibana unafungua moja fasta!!!!
PM YAKO NI SIRI !!!!!(Unless U Dont Care)!!!!!
MTAONUNA MNISAMEHE BURE LEO JPILI NIPO IN CHARITY WORK OF SAVING THE WORLD!!!! LOL!!!
asante
nitakuwa member huko soon hopefully....
Wanawake bwana wanataka vitu ambavyo hawastahili. Na sisi wanaume tukisema tunataka mwanamke fulani fulani tutakosea?(mwenye kazi nzuri, aliyesoma, mzuri wa umbo kuanzia kichwa had miguu,asiwe na msururu wa x wanaume, mwenye kumpenda Mungu, mrefu sio mfupi kama pipi kifua, awe mtamu.) Goodluck to find one of this kind. Mimi naona the beauty is the in the eyes of beholder. Kwahiyo jiangalie wewe kama unastahili hayo kwanza sio kabla hujatamka
This aint QUANTUM PHYSICS jamani. Its a free country, na kila mtu na maisha yake!!! Maisha ni kuchagua! CHAGUA KUFANYA UNALOLIPENDA HATA KAMA HALIWAPENDEZI WENGINE!!!!! LOL!