claramasawe
Member
- May 16, 2020
- 37
- 40
Good morning my people.
Awali ya yote nimekuja na Id mpya kuficha usalama wangu, ila me ni mwenyeji humu JF muda tu
Wanasema mficha ugonjwa kifo humuumbua
Nahitaji mwanaume wa kupeana kampani tu (maana nina mchumba) ila yupo nje ya nchi kimasomo
Ni wakati huu ambao nimeamia makao makuu ya nchi, hakuna ndugu, wala rafiki wa kubadilishana mawazo nahisi ntakufa kwa upweke i need some one for campan.
Awe kijana miaka 29-35
Awe msomi
Awe smart mwilini na akili pia
Awe ana kazi ya kueleweka
Awe mwenye huruma na kujaliana
Sifa zangu
Mwajiriwa na biashara kidogo
Mweupe mrefu
Umri 29
Sihitaji matusi kama haikuhusu usiweke neno
Awali ya yote nimekuja na Id mpya kuficha usalama wangu, ila me ni mwenyeji humu JF muda tu
Wanasema mficha ugonjwa kifo humuumbua
Nahitaji mwanaume wa kupeana kampani tu (maana nina mchumba) ila yupo nje ya nchi kimasomo
Ni wakati huu ambao nimeamia makao makuu ya nchi, hakuna ndugu, wala rafiki wa kubadilishana mawazo nahisi ntakufa kwa upweke i need some one for campan.
Awe kijana miaka 29-35
Awe msomi
Awe smart mwilini na akili pia
Awe ana kazi ya kueleweka
Awe mwenye huruma na kujaliana
Sifa zangu
Mwajiriwa na biashara kidogo
Mweupe mrefu
Umri 29
Sihitaji matusi kama haikuhusu usiweke neno