Kwa nini wasema hivyo?Ama kweli wakaka wamekua adimu
NitafuteNatafuta Kaka mstaarabu mtulivu mwenye kujua utu na ubinaadamu wa kubadilishana nae Mawazo yaani kuchati na kushauriana kuhusu Maisha kwa ujumla.
Mengine kama mimi nani au namba ya Simu ni baada ya ku PM.
With thanks!
πππnidipuππnidipu kwenye namba hii 0713800880
nidipu kwenye namba hii 0713800880
Vero vero ka wivu hako [emoji3] [emoji3] [emoji1] [emoji1]unataka wakaka tu???mmmh lazima utakua na lako jambo..
Wako wa kutosha Honey ..... tatizo akina nyie mko so "SELECTIVE"Ama kweli wakaka wamekua adimu
% kubwa sana imekuwa-affected na matumizi ya hilo nenoniBeep, si nidipu
πππnidipuππ
uzi wa kitambo sana huuN
Nitafute
Joo tunye => Njoo tunyweNjoo siotu kuchat joo tunye bia,wine,pia soft drink vp unazipenda?
hahahahaha aku dipu, daaaah aya buana mdipo mwemanidipu kwenye namba hii 0713800880