Wakuu,habari
Taarifa za uhakika kutoka jikoni,ni kwamba hali si shwari kabisa hasa kwa watuhumiwa upande wa pili yaani ile bank ambayo kila mtu kuanzia kamati ya bunge iliogopa kutaja orodha yao pamoja na mamlaka makubwa ya kuhoji chochote na popote waliyo kua nayo.
Ni hivi ,mkakati mpya ulio pangwa sasa ni kuendelea kuwaadaa wa tz kupitia vyombo vya habari vyote,yaani Tv,magazeti(wahariri),mitandao ya kijamii na makundi ya kijamii yenye ushawishi na wanasiasa wakubwa pia wenye ushawishi.Mkakati huo ni kuendelea kuwapotosha kwa kuendelea kupiga kelele kubwa kwa watuhumiwa wa upande mmoja (mkombozi bank) ,wao ndio waonekane wanaostahili kupelekwa mahakamani,wao ndio watuhumiwa wakuu na kila kitu,ili jamii ione haki imetendeka na kusahau kabisa kuhoji kuhusu upande wa pili (stanbic bank).
Mpaka hivi navyo leta taarifa mkakati ni mzito ,pesa imeandaliwa ya kutosha,kumbukeni upande ule wa pili (stanbic bank) sio watu wa mchezo,wamejiandaa vya kutosha kifedha na wanatumia haswa kununua makundi ya watu mbalimbali,bungeni ,vyuoni,taasisi mbali mbali ili wapige kelele sana kuhusu hawa watuhumiwa wa mkombozi bank pekee,mtakumbuka kuwa hata zitto kelele zote hajawahi kuhoji juu ya watu hao wa stanbic wala kuomba orodha..
Mkakati huu ni unalenga pia kumpotosha rais juu ya suala hili.
Wakuu mtandao ni mkubwa sana,unatisha,na kama nilivyo sema hawa watu sio wa mchezo ,wanataka kutumia pesa kufanya kama yaliyo fanywa na maharamia ya madawa ya kulevya huko magerezani kiasi cha kuishi kifahari magerezani,kuonesha jeuri ya kila haina na kuwahonga hadi wakuu wa magereza.Mkakati huo pia umepangwa na wahuskia hawa (stanbic bank mgao),na wameanza kucheza na baadhi ya taasisi hasa wahariri,Takukuru wenyewe na wanafunzi vyuoni kutoa matamko,baadae mtasikia na wengine wanakuja wapo wanajipanga (wanapikwa),ila kama nilivyo sema lengo ni kutaka kuficha ukweli husijulikane.
OMBI:Mhe.rais ,tunakupongeza sana sisi watanzania na tuko nyuma yako ktk hili na mambo mengine mengi,tunaomba husikubali kupotoshwa ktk swala hili,tunaomba haki itendeke,kama unavyo eleweka kuwa wewe ni mtu wa haki ukweli na uwazi,ukasimame kusimamia ukweli na haki ktk hili na walio husika kihalali wachukuliwe hatua stahiki.Pia tunaomba uiangalie kwa ukaribu na umakini taasisi ya TAKUKURU na nyinginezo kama mahakama zinazo husika ili yaliyo tokea kwa watuhumiwa wa madawa ya kulevya huko gerezani yasijirudie kwenye taasisi za uma.
Nawasilisha
Taarifa za uhakika kutoka jikoni,ni kwamba hali si shwari kabisa hasa kwa watuhumiwa upande wa pili yaani ile bank ambayo kila mtu kuanzia kamati ya bunge iliogopa kutaja orodha yao pamoja na mamlaka makubwa ya kuhoji chochote na popote waliyo kua nayo.
Ni hivi ,mkakati mpya ulio pangwa sasa ni kuendelea kuwaadaa wa tz kupitia vyombo vya habari vyote,yaani Tv,magazeti(wahariri),mitandao ya kijamii na makundi ya kijamii yenye ushawishi na wanasiasa wakubwa pia wenye ushawishi.Mkakati huo ni kuendelea kuwapotosha kwa kuendelea kupiga kelele kubwa kwa watuhumiwa wa upande mmoja (mkombozi bank) ,wao ndio waonekane wanaostahili kupelekwa mahakamani,wao ndio watuhumiwa wakuu na kila kitu,ili jamii ione haki imetendeka na kusahau kabisa kuhoji kuhusu upande wa pili (stanbic bank).
Mpaka hivi navyo leta taarifa mkakati ni mzito ,pesa imeandaliwa ya kutosha,kumbukeni upande ule wa pili (stanbic bank) sio watu wa mchezo,wamejiandaa vya kutosha kifedha na wanatumia haswa kununua makundi ya watu mbalimbali,bungeni ,vyuoni,taasisi mbali mbali ili wapige kelele sana kuhusu hawa watuhumiwa wa mkombozi bank pekee,mtakumbuka kuwa hata zitto kelele zote hajawahi kuhoji juu ya watu hao wa stanbic wala kuomba orodha..
Mkakati huu ni unalenga pia kumpotosha rais juu ya suala hili.
Wakuu mtandao ni mkubwa sana,unatisha,na kama nilivyo sema hawa watu sio wa mchezo ,wanataka kutumia pesa kufanya kama yaliyo fanywa na maharamia ya madawa ya kulevya huko magerezani kiasi cha kuishi kifahari magerezani,kuonesha jeuri ya kila haina na kuwahonga hadi wakuu wa magereza.Mkakati huo pia umepangwa na wahuskia hawa (stanbic bank mgao),na wameanza kucheza na baadhi ya taasisi hasa wahariri,Takukuru wenyewe na wanafunzi vyuoni kutoa matamko,baadae mtasikia na wengine wanakuja wapo wanajipanga (wanapikwa),ila kama nilivyo sema lengo ni kutaka kuficha ukweli husijulikane.
OMBI:Mhe.rais ,tunakupongeza sana sisi watanzania na tuko nyuma yako ktk hili na mambo mengine mengi,tunaomba husikubali kupotoshwa ktk swala hili,tunaomba haki itendeke,kama unavyo eleweka kuwa wewe ni mtu wa haki ukweli na uwazi,ukasimame kusimamia ukweli na haki ktk hili na walio husika kihalali wachukuliwe hatua stahiki.Pia tunaomba uiangalie kwa ukaribu na umakini taasisi ya TAKUKURU na nyinginezo kama mahakama zinazo husika ili yaliyo tokea kwa watuhumiwa wa madawa ya kulevya huko gerezani yasijirudie kwenye taasisi za uma.
Nawasilisha