Mkakati ninaowapa TTCL ili iwe kampuni pendwa na inayojulikana bila matangazo mengi ni huu........

Mkakati ninaowapa TTCL ili iwe kampuni pendwa na inayojulikana bila matangazo mengi ni huu........

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Ili kulishinda soko bila kujitangaza sana ni kuandaa mabango kila mtaa,masoko,vyuoni na kadhalika na kuweka picha za watu wanaojulikana ktk mitaa hiyo,masoko hayo,vyuo hivyo wakiwa na simu za TTCL, watu hao si lazima wawe wanaoheshimika Bali maarufu,wale wenye utani na kupendwa na watu,wanaopenda kuhudhulia sherehe,hata wenye sifa sifa kwa kukubaliana nao kutangaza ttcl,kuliko kutumia sana matamasha na radio na TV au bora vyote viende kwa pamoja.

Tofauti ni kuwa mabango yamezoeleka mjini tu vijijini hakuna wala mitaani,ninaamini ttcl ikiweka bango kijijini kubwa likamuweka na mnywa kahawa maarufu au mwenyekiti itapendwa sana.kama idea hii nimepatia basi TTCL mniajiri. asante
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]hata wajumbe pia
db44dc3fe1734d54a08e0f6d10a85487_1596286945899.jpg
 
Back
Top Bottom