wanamaendeleo nawasalim,
jamani 2015 sio mbli hata kidogo.hvi kuna mikakati gani ya kuhakikisha chadema tunachukua nchi.
nazungumzia kichama. achaa na mabadiliko ya katiba tunayopigania, na mikutano ya hadhara.
una sera gani tulizo form na amabazo tunatekeleza ili kuhakikisha tunawini??
jamani 2015 sio mbli hata kidogo.hvi kuna mikakati gani ya kuhakikisha chadema tunachukua nchi.
nazungumzia kichama. achaa na mabadiliko ya katiba tunayopigania, na mikutano ya hadhara.
una sera gani tulizo form na amabazo tunatekeleza ili kuhakikisha tunawini??