Tetesi: Mkakati wa kumnyofoa Muuza dawa za kulevya Gerezani wasukwa

Tetesi: Mkakati wa kumnyofoa Muuza dawa za kulevya Gerezani wasukwa

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
16,515
Reaction score
28,506
SHKUBA.jpg


Ziko taarifa kwamba, wafanyabiashara wakubwa wa madawa ya kulevya ‘unga’ nchini wamekuwa wakimiminika mkoani Lindi kwa lengo la kumnasua gerezani, mtuhumiwa wa biashara hiyo, Ali Khatibu Haji ‘Shkuba’ (45).

Kwa mujibu wa chanzo makini, wauza unga hao wamekuwa wakiweka vikao vya siri vya mara kwa mara jijini Dar es Salaam na Lindi lengo likiwa kuhakikisha mtuhimiwa huyo anatoka gerezani lakini bila kujulikana mbinu wanazotimia ili kufanikisha azma yao hiyo.

“Naamini mnajua kuwa, Shkuba bado yupo mahabusu ya Gereza la Mkoa wa Lindi kwa yale madai ya kuuza unga. Sasa nataka kuwaambia kwamba, wauza unga wenzake wamekuwa wakienda Lindi ili kumnasua jamaa.

“Kuna wakati wanafanya vikao hapa Dar, hasa maeneo ya Kinondoni mara nyingine kulekule Lindi. Lakini sijafahamu wanataka kumtoa kwa staili gani!
“Halafu pia, inawawia vigumu kufanikisha lengo kwa sababu wao wenyewe wengi wao ni vimeo, wanasakwa na jeshi la polisi,” kilisema chanzo hicho.

Shkuba alinaswa saa sita usiku wa Februari 23, 2014 kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar akijiandaa kwenda nchini Afrika Kusini na kuhusishwa na unga aina ya heroin kiasi cha kilo 211 yenye thamani ya shilingi bilioni 9.4 yaliyokamatwa Januari, mwaka jana mkoani Lindi.

Baada ya kukamatwa, alisafirishwa usiku huohuo kwenda Lindi chini ya ulinzi mkali wa polisi ambapo Februari 27, mwaka huo aliunganishwa na watuhumiwa wengine na kufikishwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kusini.
Watuhumiwa hao wengine ni pamoja na binti wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba, Maureen Liyumba.

Source: Mnyetishaji
 
Duuuuh aisee labda wanataka kutumia mbinu za yule wa mexico, wampeleke marekani haraka
 
Dalili zilishaonekana toka Mkuu wa magereza nchini aliposema "bwana Shkuba anawapa wakati mgumu sana ingawa yupo ndani ya gereza.
 
SHKUBA.jpg


Ziko taarifa kwamba, wafanyabiashara wakubwa wa madawa ya kulevya ‘unga’ nchini wamekuwa wakimiminika mkoani Lindi kwa lengo la kumnasua gerezani, mtuhumiwa wa biashara hiyo, Ali Khatibu Haji ‘Shkuba’ (45).

Kwa mujibu wa chanzo makini, wauza unga hao wamekuwa wakiweka vikao vya siri vya mara kwa mara jijini Dar es Salaam na Lindi lengo likiwa kuhakikisha mtuhimiwa huyo anatoka gerezani lakini bila kujulikana mbinu wanazotimia ili kufanikisha azma yao hiyo.

“Naamini mnajua kuwa, Shkuba bado yupo mahabusu ya Gereza la Mkoa wa Lindi kwa yale madai ya kuuza unga. Sasa nataka kuwaambia kwamba, wauza unga wenzake wamekuwa wakienda Lindi ili kumnasua jamaa.

“Kuna wakati wanafanya vikao hapa Dar, hasa maeneo ya Kinondoni mara nyingine kulekule Lindi. Lakini sijafahamu wanataka kumtoa kwa staili gani!
“Halafu pia, inawawia vigumu kufanikisha lengo kwa sababu wao wenyewe wengi wao ni vimeo, wanasakwa na jeshi la polisi,” kilisema chanzo hicho.

Shkuba alinaswa saa sita usiku wa Februari 23, 2014 kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar akijiandaa kwenda nchini Afrika Kusini na kuhusishwa na unga aina ya heroin kiasi cha kilo 211 yenye thamani ya shilingi bilioni 9.4 yaliyokamatwa Januari, mwaka jana mkoani Lindi.

Baada ya kukamatwa, alisafirishwa usiku huohuo kwenda Lindi chini ya ulinzi mkali wa polisi ambapo Februari 27, mwaka huo aliunganishwa na watuhumiwa wengine na kufikishwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kusini.
Watuhumiwa hao wengine ni pamoja na binti wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba, Maureen Liyumba.

Source: Mnyetishaji
Waombe ushauli kwa elichapo[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]
 
asigwa we ni muajiriwa wa Jf nn? unatish muda wote unaanzisha nyuzi hpa. hongra bna.
 
Kama ni hivyo tuombe apelekwe Guantanamo.,manake mmeshaanza, mara kamishna mara vikao milisema tangu nilipoisoma ile kauli ya kamishna nikaona uapa theres something fishing,nadhani tayari wausika wamesha fungua macho na masikio.
 
watu kama hawa kamata piga risasi za kichwa!! waende wakafanye vikao vya siri huko huko chini
 
Mbona miaka inapishana mkuu asigwa ? Mtuhumiwa alinaswa Feb 2014 madawa yalikamatwa Jan mwaka jana. Hebu weka sawa hapo
 
Hyo Mura Mwenyewe kwansa Sura yake siilewi elewi Duuuu Zifanyike chuhudi za Ziada Apwelekwe Guakwanamo Bhei.
 
Ndo maana kila siku namuona mrangi Meridien pale kinondoni kumbe ndo yupo mawindoni hivi Matola yupo wapi
 
Back
Top Bottom