demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Huyu mwanamama ni shabiki mkubwa sana wa Yanga SC.
Hata atakapo shindwa uchaguzi bado ataendelea kuwepo kwa ajili ya klabu.
Katika mkakati wake wa namna ya kufanya Kampeni aliamua kutumia mashabiki wa Makolo FC ili wampromote kama mgombea anayefaa.
Pasi na kujua kuwa hakuna shabiki wa Yanga SC atakaye piga kura kwa kutokana na msukumo wa upande wa pili.
Wapiga kura wengi wanaamini kuwa hakuna shabiki wa Makolo FC mwenye kuipenda sana Yanga hata akathubutu kupendekeza mgombea anaye faa kuwapa Yanga Mafanikio. HAKUNA.
Masikini mama wa watu akaamua kutumia njama ambayo mpaka sasa imethibitisha kumuangusha pakubwa yaani.
Hebu fikiria kuhusu ile press conference ambayo ameiitisha. Yaan waandishi wa habari walio jitokeza ni asilimia 30% ya wale walio jitokeza kipindi Bwana Arafat anafanya press conf.
Huwezi kufanikiwa kwa kutegemea mashabiki wa mikia ili hali hata upande wao wenyewe hawatambui kama transformation imekamilika au bado.
Kwa mbio za uchaguzi zilivyo inaonekana wazi kabisa kuwa bwana Arafat ndiye makamu wa rais na rais ndiye eng hersi.
Hakuna ushindani katika uchaguzi huu wa kuwatufanya tukose usingizi.
Hata atakapo shindwa uchaguzi bado ataendelea kuwepo kwa ajili ya klabu.
Katika mkakati wake wa namna ya kufanya Kampeni aliamua kutumia mashabiki wa Makolo FC ili wampromote kama mgombea anayefaa.
Pasi na kujua kuwa hakuna shabiki wa Yanga SC atakaye piga kura kwa kutokana na msukumo wa upande wa pili.
Wapiga kura wengi wanaamini kuwa hakuna shabiki wa Makolo FC mwenye kuipenda sana Yanga hata akathubutu kupendekeza mgombea anaye faa kuwapa Yanga Mafanikio. HAKUNA.
Masikini mama wa watu akaamua kutumia njama ambayo mpaka sasa imethibitisha kumuangusha pakubwa yaani.
Hebu fikiria kuhusu ile press conference ambayo ameiitisha. Yaan waandishi wa habari walio jitokeza ni asilimia 30% ya wale walio jitokeza kipindi Bwana Arafat anafanya press conf.
Huwezi kufanikiwa kwa kutegemea mashabiki wa mikia ili hali hata upande wao wenyewe hawatambui kama transformation imekamilika au bado.
Kwa mbio za uchaguzi zilivyo inaonekana wazi kabisa kuwa bwana Arafat ndiye makamu wa rais na rais ndiye eng hersi.
Hakuna ushindani katika uchaguzi huu wa kuwatufanya tukose usingizi.