libeva
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 4,465
- 3,615
1. Kupewa kadi nyekundu kwa kocha Nasri Nabi kwa kulalamika mchezaji wake kukanyagwa na Kelvin Yondani mwamuzi sijui anajua kifaransa au kiarabu? Ndizo lugha anazo tumia Nabi alizotumia kulalamika tukio la mchezaji wake kukanyagwa je swali la kujiuliza mwamuzi aliyetoa huku ni mbobezi wa lugha za mtuhumiwa? Je TFF wamemhukumuje kocha Nabi? Kwa kufuata ripoti ya kamisaa? Je kamisaa wa mchezo anauelewa wa lugha za matusi za mtuhumiwa alizotuhimiwa mpaka hukumu ikatoka?
2. Kuvutwa kwa mechi ya Yanga na Namungo ichezwe tarehe 23/04/2022 badala ya tarehe 08/05/2022 baada ya Namungo kucheza na Simba na Namungo kuna wachezaji wa Yanga watapigwa kadi aidha za njano au nyekundu ili waukose mchezo wa tarehe 30/04/2022.
3. Kwa mazingira hayo TFF wanajambo lao Yanga wakiingia kwenye mtego wa TFF majibu watayaona tarehe 30 ambako kuna mechi hiyo. Ukimsikiliza Julio kocha msaidizi wa Namungo kuna kitu wao wamekipanga ngoja tuone matokeo yahukumiwe kwa vitendo uwanjani naamini kwa bandiko hili sitegemei makosa ya mchongo au adhabu za michongo kuibeba timu fulani tusubiri.
2. Kuvutwa kwa mechi ya Yanga na Namungo ichezwe tarehe 23/04/2022 badala ya tarehe 08/05/2022 baada ya Namungo kucheza na Simba na Namungo kuna wachezaji wa Yanga watapigwa kadi aidha za njano au nyekundu ili waukose mchezo wa tarehe 30/04/2022.
3. Kwa mazingira hayo TFF wanajambo lao Yanga wakiingia kwenye mtego wa TFF majibu watayaona tarehe 30 ambako kuna mechi hiyo. Ukimsikiliza Julio kocha msaidizi wa Namungo kuna kitu wao wamekipanga ngoja tuone matokeo yahukumiwe kwa vitendo uwanjani naamini kwa bandiko hili sitegemei makosa ya mchongo au adhabu za michongo kuibeba timu fulani tusubiri.