tutaweza JF-Expert Member Joined Oct 3, 2011 Posts 634 Reaction score 457 Aug 23, 2012 #21 Wakikataa mahakamani na wakituibia kura tutawatolea mitaani. Na wanajua kutolewa kwa njia ya kitaa madhara yake ni nini!? Wakamuulize Mubarak na Zine El Abidine Ben Ali wa Tunisia. Haki ya mtu haipotei milele, time always tell the truth.
Wakikataa mahakamani na wakituibia kura tutawatolea mitaani. Na wanajua kutolewa kwa njia ya kitaa madhara yake ni nini!? Wakamuulize Mubarak na Zine El Abidine Ben Ali wa Tunisia. Haki ya mtu haipotei milele, time always tell the truth.