Mkandarasi aliejenga lami ya Ubungo ya Mbweni kazingua ubora

Mkandarasi aliejenga lami ya Ubungo ya Mbweni kazingua ubora

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Yaani kuna kipande cha kuanzia Ununio hadi Ubungo kajenga vizuri, baada ya hapo kamwaga lami chini ya kiwango kabisa, mpaka unajiuliza Injinia wa Halmashauri ya Kinondoni kakagua na kupitisha lami hii lowest grade hivi!? Why quality itofautiane hivyo!?
 
Back
Top Bottom