KERO Mkandarasi aliyejenga mitaro barabara ya Tegeta Kibaoni - Wazo ameacha mabaki ya mitaro ya zamani

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Mkandarasi aliyepewa kujenga mitaro barabara ya Tegeta Kibaoni kwenda Wazo ameacha mabaki ya udongo na vigingi vya zege la mitaro ya zamani barabarani

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…