Mkandarasi Kilwa Road alazimishwe kumwaga maji kupunguza vumbi

Mkandarasi Kilwa Road alazimishwe kumwaga maji kupunguza vumbi

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Hili vumbi linalotimka si la kitoto. Mradi wote huu wa mwendokasi huku Barabara ya Kilwa, tunaiomba serikali wambane sana huyu mkandarasi amwagie maji muda wote barabara ili kupunguza vumbi hili yaani tunateseka sana.

Pale chini mto Kizinga unatiririsha maji mengi hakukua na sababu sisi wakazi na watumiaji njia hii tuteseke na vumbi kama ni gari za doza wanazo kwanini hawaziyumii ipasavyo?

Tunaomba tusaidiwe kwa hili.
 
Hili vumbi linalotimka si la kitoto.mradi wote huu wa mwendokasi huku Barabara ya Kilwa,.tunaiomba serikali wambane sana huyu mkandarasi amwagie maji muda wote barabara ili kupunguza vumbi hili yaani tunateseka sana
Pale chini mto Kizinga unatiririsha maji mengi hakukua na sababu sisi wakazi na watumiaji njia hii tuteseke na vumbi kama ni gari za doza wanazo kwanini hawaziyumii ipasavyo?
Tunaomba tusaidiwe kwa hili.
Huwa wanamwaga, hata jana jioni wamemwaga.

Ila inaonekana wanamwaga siku ambazo wanafanya kazi.
 
Kwenye ujenzi wowote vumbi kawaida tu

Vumilieni maendeleo huja na maumivu

Ova
 
Back
Top Bottom