Mkandarasi Kimara Bonyokwa kaishia wapi? Wekeni sawa wananchi inasikitisha sana

Mkandarasi Kimara Bonyokwa kaishia wapi? Wekeni sawa wananchi inasikitisha sana

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Wakati wanatangaza kuhusu ujenzi wa hii barabara niliwambia watu kitu. Anyway na ndicho kinachoendeleaaaa

Ile barabara walivunja frame za watu zaidi ya 100 na nyumba za watu kadhaa wakishauriwa wengine kuvunja wenyewe.

Katika kuwaweka sawa wananchi mkandarasi akaja na magari ya kukwangua barabara

Akaja na malori akapaki pale Kimara kituoni kabisa.

Wananchi wakafanya kile wameambiwa wakavunja nyumba frame zao. Toka May, June, July, Aug Sept leo tunaingia October

Hivi wananchi mnawaonaje lakini inahuzunisha sana sana

May walipoulizwa wahandisi wakadai wanaanza Julai. Agosti mwanzoni wakanza kuondoa yale magari moja baada ya lingine.

Anyway mbunge ndie ulishauri watu wavunje nyumba zao

Hao kandarasi wameishia wapi na ulisema hela zipo na wameshapatiwa kuanza kazi

Cc

Mh Waziri wa ujenzi.

Tunataka maendeleooooooo

Pia soma
- Serikali kupitia TANROADS imemkabidhi Mkandarasi kazi ya ujenzi wa Barabara ya Kimara-Bonyokwa-Kinyerezi kwa kiwango cha lami
 
WIKI ZILIZOPITA

WANANCHI MBEYA WANALIA NA KULIA

WAMEFANYIWA MAHESABU YA MALIZAO WAKAMBIWA VUNJEN

MPAKA LEOOO WANALIA FIDIAAAA
 
KIPUNGUNI

T0OKA2017
WAMEVUNJA WAKAMBIWA WANALIPWA FIDIA NA WATU WAKASAINI WAPIIII

2022
WAKAJA WENGINE WAKADAI AMEPATIKANA MWEKEZAJI BOMOENI NA MSIPANGISHE TENA

WANANCHI WAKAFANYA HAYOOO WAKAJA TAA..ARDHI...WAKASAINISHWA WATU MAKARATASI YAKIONYESHA NA FIDIA WANAZOENDAA KUWALIPA

KILA KIONGOZI ANAENDA KUONGEA NAO ANAMBIWA MALIPO YANAKARIBIA KULIPWA WAWE WAPOLE


IKAJA MABADILIKO YA MA DC SASA MAJUZI KAENDA HUYU KAKA YANGU NAE KAWAOMBA ANAENDA KUFWATILIA

HAWA WATU WANATEGEMEA HIZO NYUMBA ADA ZA WATOTO WAO NA ZILE NYUMBA WASOME WAJE KUWA VIONGOZI..WAFANYABIASHARAA



KISHINDWA KUWALIPA HAWA WAHANGA MNATENGENEZA KIZAZI CHA WEZI NA MAJAMBAZI..KINA WATOTO WALISHAONJA MAISHA MAZURI WAKIGOMA KUSOMAA MWISHO N KUWA MAJAMBAZI

CC MH MB DADAYANGU
BONNA

MUNGU ATUPE MWISHO MWEMA HII DUNIA
 
hawa kmr hawajalipwa na wamevunja wajengeen basi wamejibu bila shuruti

Wale kipunguni mewasainisha nenden mkawalipe zile saini Mungu wa Mbingun anaziona na anawasikia wale wazee vilio vyao

Kuna wazazi wazee walisaini 2022 zile fomu leo hii hawapo kwa pressure kila wakiamka wanaitishwa mikutano na kudanganywa na mwenyekiti seerkl za mitaa kama hana dini

anyway ushauri tu

Kwa hizi
nilizojifunza nikisikia sehemu nivunje sijui barabaraa nk ntakuwa wa mwisho tena natoa vitu kabisaa nawasubiria nikija niangalie cha kutoa
 
Back
Top Bottom