T tripof JF-Expert Member Joined Apr 2, 2024 Posts 829 Reaction score 1,120 Apr 21, 2024 #1 Naomba kumjua mkandarasi mshauri kwenye uboreshaji wa miundo mbinu uwanja wa ndege wa kimataifa Mwanza, ni nani hasa ili tujua uwezo wake.
Naomba kumjua mkandarasi mshauri kwenye uboreshaji wa miundo mbinu uwanja wa ndege wa kimataifa Mwanza, ni nani hasa ili tujua uwezo wake.
Joannah JF-Expert Member Joined May 8, 2020 Posts 20,921 Reaction score 49,014 Apr 21, 2024 #2 Ukishajua?Una mpango Gani?
T tripof JF-Expert Member Joined Apr 2, 2024 Posts 829 Reaction score 1,120 May 26, 2024 Thread starter #3 tufuatilie
peno hasegawa JF-Expert Member Joined Feb 24, 2016 Posts 14,255 Reaction score 23,949 May 26, 2024 #4 Utamlaumu Bure. Nchi Haina fedha za miradi ya maendeleo.
Wegr JF-Expert Member Joined Apr 27, 2022 Posts 230 Reaction score 600 May 26, 2024 #5 Hiyo mwz Airport inakera harafu inachosha jengo nililoliacha mwaka jana mwezi 8 nimerudi mwaka huu mwezi 2 hakuna kilichobadilika liko vile vile. Upuuzi mtupu
Hiyo mwz Airport inakera harafu inachosha jengo nililoliacha mwaka jana mwezi 8 nimerudi mwaka huu mwezi 2 hakuna kilichobadilika liko vile vile. Upuuzi mtupu
T tripof JF-Expert Member Joined Apr 2, 2024 Posts 829 Reaction score 1,120 May 27, 2024 Thread starter #6 Said Mtanda kwa mradi wa airport kimya. Kulikoni?