sababu ya kutolipa miezi 7 huku YARPI ikilipwa ziko wapi?, jukumu la serikali ni kuhakikisha pia makampuni yanalipa mishahara wafanyakazi wake.
Shida ya CCM iko tayari kutoa rushwa kubwa ili ijisafishe wakati unawezekana kuta deni lenyewe ambalo lipo ni sawa tu na hiyo gharama ya kujisafisha.