Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wana jamvi
Ni wazi kuwa Ugonjwa wa dengu
Umekuwa hatari na umesababisha vifo vya watu we hapa nchini hasa Dares-salaam na umeendelea kusambaa mikoa ya Tanga ,pwani na zanzibar.
Pamoja na Wizara kufundisha jinsi ya kutuliza na kujikinga ikiwemo kusafisha mazingira kwa kufukia madimbwi na kufweka vichaka.
Pia tumeambiwa kuwa tukipata dalili tuwai panaldo na maji mengi kabla ya kuwai kituo cha afya.
kumekuwepo na taarifa kuwa hili kujikinga na ugonjwa huu ni kutafuna mbegu za papai.
Sasa leo nimepata nafasi kuongea na Dr fulani kuhusu ugonjwa huu na kinga lakini nikamgusia kuhusu matumizi ya mbegu za mapapai na alinishitua sana alipo niambia kuwa matumizi ya mbegu za mapapi yanaweza sababisha Ini kushindwa kufanya kazi ambayo inaweza kuwa hatari zaidi kuliko dengue.
Sasa hii taarifa ya kusaga mbegu za mapapai na kuzinywa na wengine wana sema kuzitafuna.
Sasa nauliza hili kutoa mkanganyiko nikijua hapa kuna madaktari wengi na wanaweza wakaleta na kutupa ufafanuzi zaidi na ninapenda kujua kama hili swala la matumizi ya Mbegu za mapapai limefanyiwa utafiti vizuri lisije kuleta shida kama mafuta ya ubuyu.
Kwanini hili swala la matumizi ya mbegu za mapapai halijatolewa ufafanuzi na Wizara?
UPDATES
Wana jamvi kama mmepata nafasi ya kusikiliza Clouds fm kipindi cha Saturday power break fast kulikukuwa na daktari kutoka wizara ya afya na watu wameuliza maswali likiwemo hili la matumizi ya mbegu za mapapai na majani yake kama tiba mbadala na amesema hili halijafanyiwa utafiti.
Wizara haishauri wananchi kutumia mbegu au majani ya mapapai kama tiba mbadala maana halija fanyiwa utafiti.
Anasema wananchi wasubiri hili swala lifanyiwe utafiti wasitumie.
UPDATES
Madaktari kutoka wizara ya Afya kupitia Clouds Fm wamesema habari zinazo sambazwa kwamba Majani ya mpapai na mbegu za papai kuwa ni tiba mbala au kinga ya ugonjwa wa Dengue ni upotoshaji na wananchi waeupuke.
Source: Power Breakfast of saturday(Clouds Fm) 17-5-2014
Karibuni wana jamvi.
Cc Mzizi mkavu, Riwa gfsonwin.
Karibuni wana Jamvi.
Ni wazi kuwa Ugonjwa wa dengu
Umekuwa hatari na umesababisha vifo vya watu we hapa nchini hasa Dares-salaam na umeendelea kusambaa mikoa ya Tanga ,pwani na zanzibar.
Pamoja na Wizara kufundisha jinsi ya kutuliza na kujikinga ikiwemo kusafisha mazingira kwa kufukia madimbwi na kufweka vichaka.
Pia tumeambiwa kuwa tukipata dalili tuwai panaldo na maji mengi kabla ya kuwai kituo cha afya.
kumekuwepo na taarifa kuwa hili kujikinga na ugonjwa huu ni kutafuna mbegu za papai.
Sasa leo nimepata nafasi kuongea na Dr fulani kuhusu ugonjwa huu na kinga lakini nikamgusia kuhusu matumizi ya mbegu za mapapai na alinishitua sana alipo niambia kuwa matumizi ya mbegu za mapapi yanaweza sababisha Ini kushindwa kufanya kazi ambayo inaweza kuwa hatari zaidi kuliko dengue.
Sasa hii taarifa ya kusaga mbegu za mapapai na kuzinywa na wengine wana sema kuzitafuna.
Sasa nauliza hili kutoa mkanganyiko nikijua hapa kuna madaktari wengi na wanaweza wakaleta na kutupa ufafanuzi zaidi na ninapenda kujua kama hili swala la matumizi ya Mbegu za mapapai limefanyiwa utafiti vizuri lisije kuleta shida kama mafuta ya ubuyu.
Kwanini hili swala la matumizi ya mbegu za mapapai halijatolewa ufafanuzi na Wizara?
UPDATES
Wana jamvi kama mmepata nafasi ya kusikiliza Clouds fm kipindi cha Saturday power break fast kulikukuwa na daktari kutoka wizara ya afya na watu wameuliza maswali likiwemo hili la matumizi ya mbegu za mapapai na majani yake kama tiba mbadala na amesema hili halijafanyiwa utafiti.
Wizara haishauri wananchi kutumia mbegu au majani ya mapapai kama tiba mbadala maana halija fanyiwa utafiti.
Anasema wananchi wasubiri hili swala lifanyiwe utafiti wasitumie.
UPDATES
Madaktari kutoka wizara ya Afya kupitia Clouds Fm wamesema habari zinazo sambazwa kwamba Majani ya mpapai na mbegu za papai kuwa ni tiba mbala au kinga ya ugonjwa wa Dengue ni upotoshaji na wananchi waeupuke.
Source: Power Breakfast of saturday(Clouds Fm) 17-5-2014
Karibuni wana jamvi.
Cc Mzizi mkavu, Riwa gfsonwin.
Karibuni wana Jamvi.
Last edited by a moderator: