KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 540
Ukilog in kwenye website yao Kunatangazo lifuatalo: Dear Applicants,
The second round for the admission into Central Admission System is officially opened from 13th August, 2012 to 25th August,2012.Those who did not apply or could not be admitted during first round are adviced to make application by clicking the button labeled "Application 2nd round".If this button is active then make sure you click and start application process for the second round.But if the button is NOT active then you are not required to make any application for the second round.
Cha kushangaza ni kuwa upande user area ni kweli hiyo button ya second round application haiko active lakini ukienda upande wa my profile hiyo button iko active na inakupa options za kuendelea kujaza kozi mpya. huu mkanganyiko wa nini nyie TCU na majina hamtaki kutoa ya waliochaguliwa?
The second round for the admission into Central Admission System is officially opened from 13th August, 2012 to 25th August,2012.Those who did not apply or could not be admitted during first round are adviced to make application by clicking the button labeled "Application 2nd round".If this button is active then make sure you click and start application process for the second round.But if the button is NOT active then you are not required to make any application for the second round.
Cha kushangaza ni kuwa upande user area ni kweli hiyo button ya second round application haiko active lakini ukienda upande wa my profile hiyo button iko active na inakupa options za kuendelea kujaza kozi mpya. huu mkanganyiko wa nini nyie TCU na majina hamtaki kutoa ya waliochaguliwa?