Mkanganyiko wa tozo na kodi lawama kwa Mobetto, Samatta, Edo Kumwembe

Mkanganyiko wa tozo na kodi lawama kwa Mobetto, Samatta, Edo Kumwembe

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Mzalendo nambari moja nchii hii mwenye uchungu kuliko watanzania wote. Mchumi grade A, anayepambana kwa hali na mali kuwatoa watanzania kwenye umaskini, anayelia machozi ya damu akiwaona maskini field marshall Mwigulu aliteua mabalozi watatu wa kodi kuelimisha watanzania.

Hamisa Mobetto, Mbwana samatta na Edo kumwembe, hakika ulikuwa uteuzi mzuri sana uliozingatia vigezo na masharti na unaoonyesha ni jinsi gani awamu hii ya sita ilivyo serious na maisha ya raia wake.

Sasa kuna mkanganyiko juu ya tozo na kodi zinazo tiririka mithili ya maporomoko. Itakuwa ni kosa sana kuilaumu serikali wakati Hamisa, Samatta, na Kumwembe hawajafanya kazi yao. Shame on them, serikali isilaumiwe.

kodiiiiii.JPG
tozooooooooooooooooooooooooooooo.jpg
 
Nchi hii inajua kweli kuwapa watu ulaji

Basi hapo ukiuliza utaambiwa hao wana ushawishi,sjui wana followers
[emoji1]

Ova
 
Mzalendo nambari moja nchii hii mwenye uchungu kuliko wa tz wote,mchumi grade A, anayepambana kwa hali na mali kuwatoa watanzania kwenye umaskini, anayelia machozi ya damu akiwaona maskini field marshall Mwigulu aliteua mabalozi watatu wa kodi kuelimisha watanzania

Hamisa Mobetto, Mbwana samatta na Edo kumwembe, hakika ulikuwa uteuzi mzuri sana uliozingatia vigezo na masharti na unaoonyesha ni jinsi gani awamu hiiya sita ilivyo serious na maisha ya raia wake

sasa kuna mkanganyiko juu ya tozo na kodi zinazotiririka mithili ya maporomoko,ITAKUWA NI KOSA SANA KUILAUMU SERIKALI WAKATI HAMISAA, SAMATTA NA KUMWEMBE HAWAJAFANYA KAZI YAO, SHAME ON THEM, SERIKALI ISILAUMIWE

View attachment 2335391View attachment 2335392
Kwanini asiwatoze hiyo kodi wao tu
 
Naona umetumwa kuwadanganya watoto. Serikali ndio inawajibika Kwa wananchi na sio hao akina Mobetto. Hakuna mkataba wowote kati ya akina Mobetto na wananchi ila kuna mkataba kati ya wananchi na serikali.

Halafu Kwa hiyo Kodi ya kichwa ikirudishwa na wananchi wakaanza kulalamika shida inakuwa sio hiyo Kodi Bali ni elimu kuhusu hiyo Kodi ? Acha hizo ndugu Mungu anakuona.
 
Naona umetumwa kuwadanganya watoto. Serikali ndio inawajibika Kwa wananchi na sio hao akina Mobetto. Hakuna mkataba wowote kati ya akina Mobetto na wananchi ila kuna mkataba kati ya wananchi na serikali.

Halafu Kwa hiyo Kodi ya kichwa ikirudishwa na wananchi wakaanza kulalamika shida inakuwa sio hiyo Kodi Bali ni elimu kuhusu hiyo Kodi ? Acha hizo ndugu Mungu anakuona.
sasa mbona hamisa mobetoo na wenzake hawakutoa elimu ya kodi? unadhani mzalendo namba moja alivyowateua hakujua uwezo wao kuhusu uwelewa wa mambo ya kodi?
 
Mzalendo nambari moja nchii hii mwenye uchungu kuliko watanzania wote. Mchumi grade A, anayepambana kwa hali na mali kuwatoa watanzania kwenye umaskini, anayelia machozi ya damu akiwaona maskini field marshall Mwigulu aliteua mabalozi watatu wa kodi kuelimisha watanzania.

Hamisa Mobetto, Mbwana samatta na Edo kumwembe, hakika ulikuwa uteuzi mzuri sana uliozingatia vigezo na masharti na unaoonyesha ni jinsi gani awamu hii ya sita ilivyo serious na maisha ya raia wake.

Sasa kuna mkanganyiko juu ya tozo na kodi zinazo tiririka mithili ya maporomoko. Itakuwa ni kosa sana kuilaumu serikali wakati Hamisa, Samatta, na Kumwembe hawajafanya kazi yao. Shame on them, serikali isilaumiwe.

View attachment 2335391View attachment 2335392
Ujinga mtupu.

Na kupitia hizi tozo zao kandamizi, naamini Mwigulu na serikali yake wataendelea kudharauliwa mpaka mwisho na wananchi walio wengi.
 
Sioni SABABU za kulaumu hao wasemaji wa Kodi kwanza hawahusiki na mskakabali wa TAIFA.
 
Tuache lawama kwa serikali,hawa watatu ndiyo wamefeli
TRA Na mwigillu walitakiwa wawatumie wataalam ndiyo
Wawe wanatoa elimu ya mambo
Ya kodi,sasa hawa elimu ya kodi
Wapi na wapi
Sana sana wamewalipa pesa ya bure tu....
Nchi hii sahv waache ukanjanja wa kufanya mambo ovyoovyo
Kesho tu utasikia mandonga kawa balozi wa tra [emoji1]

Ova
 
sasa mbona hamisa mobetoo na wenzake hawakutoa elimu ya kodi? unadhani mzalendo namba moja alivyowateua hakujua uwezo wao kuhusu uwelewa wa mambo ya kodi?
Nchi mambo serious wanapewa watu
Ambao hawana hata uwezo wa kuyazungumzia
Ukiuliza kwanini mmewachagua hao..
Utaambiwa wale wana followers na ni brand [emoji1] brand my foot

Ova
 
Back
Top Bottom