Tetesi: mkanganyo juu ya uhamisho wa waalimu wa sekondari kwenda shule za msingi

Tetesi: mkanganyo juu ya uhamisho wa waalimu wa sekondari kwenda shule za msingi

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
kumetokea sintofahamu juu ya nani hasa wanapaswa kwenda shule ya msingi kwa waalimu wa sekondari hasa baada ya serikali kutoa tamko jingine jana bungeni kuwa watakaoenda huko ni wale ambao walikuwa msingi then wakajiendeleza kielimu ha ha ha ha ha ha waalimu kazi mnayo uzalendo kwanza maslahi binafsi badaae.
 
Hili jambo limeleta mkanganyiko mkubwa.. Na hili ni tatizo la kuchanganya taaluma na siasa
 
Back
Top Bottom