Mkanye mkeo nakwambia!

Nakupa TANO Mkuu........................
Nilikuwa nasubiri jibu la aina hii.........................
 
Khaaaaaaaaaaaa!
Big shem ni wewe au kuna mtu kaiba pasiwedi!!!

Epushia mbali Sisy asipite mitaa hii maana naimajin huyo mwanamke akubali na kutaka kuambatana nawe kwao mkaongee kiutu uzima!!!

hhahahaha sasa ole wako Canta Umwambie.......sitakuletea tena zile raba
 
Mtambuzi...
natambua uwepo wako...
hii iko kihisia zaidi...na inategemea GLANDS gani zitatangulia kutoa homoni gani siku iyo na zitanituma vip...
 

Atakuwa kakosea kwa kuwa mke wangu ni marehemu
 
Kwanza ujue kuwa uko kwenye anga za wenye muji!!

Pia utambue kwamba imekula kwako (iwe ni kweli au la)....Mambo yameshakuwa si mambo.

Dawa hapo ni kufanya maamuzi magumu...Kwa wajinga kama mie, ningeamua kuishi kwa matumaini!!

Babu DC!!
 
Mtu wa tanga kazidiwa kete na ambaye siyo it means ameshindwa mambo ya kitanga.
 
Mmmmh!!!!!!!! unampotezea kisha unafanya ukachero maana mambo mengine siyo ya kukurupuka inaweza kuwa janja ya nyani kula mahindi mabichi

  • :embarassed2:
 
Ila Babu kama ni wewe kuwa tu mkweli tukupe ushauri wa kupita kwenye supu ya pweza jioni, haingii akilini bibi atange na njia kiivo, hapo hata huyo mwanamama naye utampitia ili umonyeshe kuwa we ni rijali hahahahahaaaaa.........
 
Ila Babu kama ni wewe kuwa tu mkweli tukupe ushauri wa kupita kwenye supu ya pweza jioni, haingii akilini bibi atange na njia kiivo, hapo hata huyo mwanamama naye utampitia ili umonyeshe kuwa we ni rijali hahahahahaaaaa.........
Ingekuwa ni mimi wala nisingeficha...............Kwani hujui kwamba mficha uke huwa hazai?
 
Utulivu na busara ndio za muhimu sana katika kufikia maamuzi na wala sio papara na hasira maana utaharibu kila kitu
 
Hapo inabidi busara itumike, kwa maoni yangu huyo mwanamke ni mhalibifu tu hivyo yakupasa kujiuliza mara mbili kabla ya kuchukua hatua, maana kama angekuwa mtu mwema angekuita faragha na kukiueleza dukuduku lake na siyo mbele ya kadamnasi
 
Hii hainihusu mimi jamani......................! Nawasilisha tu.

Kiongozi mbona unajitetea!
Hii kali ya mwaka, Hapo inahitaji tafakuri ya nguvu!! Lazima utafute ukweli wa Habari, Kama ni Uzushi au kweli Linahitaji uchunguzi wa kina.Ila aibu Kiongozi!! Mh mbele za watu, Aibu kwako na aibu kwake!!
 
mi namwambia ka wapenzi wetu wanatufanyia hivyo basi na sisi tuwalipizie..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…