Mkao wa Agness Masogange

Daaaa, Umbo poa ila Mapaja makubwa mno kama ya Wanaume/Wanawake wanaocheza kwenye snow, BOBSLED.

 
Last edited by a moderator:
Mbona yuko ka photoshop? Unawili wa chini ya kiuno ka hauendani na sura vile...
Yaani ukiangalia kwa haraka utasema tayari ni MUHA...
 
Hakuna kitu hapo!.....Marinda yote yameshapigwa pasi!
 
Mzuri wa kutarasua huyu dah ngoja niangalie upenyo lazima nipige kapumpusha hapo..................!:rockon:
Mkuu mimi mwenyewe toka saa hizo nakatafuta kaupenyo mpaka nataka nipasue screen yangu, basi ukikapata piga halafu niachie na mimi nihogonyowe.
 
kwa mzazi najua inamuuma kuona binti yake akiwa katika hali kama hiyo.
 
kwa mzazi najua inamuuma kuona binti yake akiwa katika hali kama hiyo.

mama wa kichaga anapiga ukunga/yowe kabisa,inaonyesha wazazi wake walifail to an extent ktk kumfinyanga vizuri binti yao ndio maana anafikia hatua ya kuudhalilisha utu wake kiasi hiki.pole sana kwa wazazi wake najua hawakupenda ila ndio njia aliyochagua binti yao hivyo hakuna jinsi.
 
Huyu yupo sokoni sisi tunahangaika kucomment she is just an uptown bitch ,2 hell with her pics
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…