Mkapa alikuwa na mafaili ya wengi wasio wasafi CCM na Serikalini, Mzee Mangula simama imara kwenye kuchuja wagombea

Mkapa alikuwa na mafaili ya wengi wasio wasafi CCM na Serikalini, Mzee Mangula simama imara kwenye kuchuja wagombea

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Mkapa alitusaidia Kama nchi kupata Raisi Safi Magufuli sababu alikuwa na mafaili ya wezi, mafisadi na vibaka ndani ya CCM na serikali. Angekuwa hai angesaidia mno mchakato wa kuchuja watia Nia ubunge na udiwani sababu aliwajua wengi in and out

Mkapa ndie alisaidia nchi kupata Raisi Magufuli .Watu wanaowajua watu ndani ya CCM in and out Ni wawili tu waliokuwa wamebaki ambao Ni Mangula na Mkapa

Mangula aluwekewa kinachoitwa sumu na Mkapa kafariki

Personally Kama Kikwete alivyoshtuka kifo Cha Mkapa Mimi pia nimeshtuka I smell a rotten rat somewhere

Nakuomba Mangula unawajua wengi hao watia Nia msaidie Raisi hao wataka nchi wezi, mafisadi na vibaka wasipate nafasi ubunge Wala udiwani wanaitaka nchi kwa gharama yoyote .

Magufuli kakamaa na Mungu akusaidie hii ni Vita na upambane hasa
 
Mahakama nashauri zitangaze wiki mbili kuanzia kesho za maombolezo ambapo shughuli zote za mahakama zitasimama . Kumlilia Raisi Mkapa waliyemwapisha
 
Wema na Haki vitatawala dhidi ya wezi na mafisadi; fisadi anatuma mtoto inakuwaje hii mzee magufuli?
 
Umenena vyema kuhusu msaada wa Mkapa ktk uteuzi wa JPM kugomea uraisi 2015 lkn kuhusu msaada wake kwenye uteuzi wa watia nia wa ubunge mwaka huu umepuyanga mweshimiwa.

Kati ya watia nia 10,367 ni wangapi waliowah kufanya kazi na Ben Mkapa?

Anawajuaje watia nia wa sasa ambao asilimia kubwa hawakua kwenye siasa ktk awamu ya Mkapa?

mtu alieachana na active politics miaka 15 iliopita ategemewe kuwa na taarifa za wagombea wa wakati huu ni uongo na kumsingizia marehemu
 
Wasaliti wako wengi sana ndani ya chama na serikali,kazi bado ni kubwa,uko sahihi kabisa Yehodaya.Na kuhusu Mkapa,could be.Ila dah,umeenda mbali,hili bado nilikuwa sijaliwaza.Ila nilimuona Kikwete jinsi akivyokuwa anatilia mashaka kifo cha Mkapa,kwa hiyo labda kuna haja ya uchunguzi.
 
Wasaliti wako wengi sana ndani ya chama na serikali,kazi bado ni kubwa,uko sahihi kabisa Yehodaya.Na kuhusu Mkapa,could be.Ila dah,umeenda mbali hili bado nilikuwa sijaliwaza.Ili nilimuona Kikwete jinsi akivyokuwa anatilia mashaka kifo cha Mkapa,kwa hiyo labda kuna haja ya uchunguzi.
Hata makamu wa Raisi Mama Suluhu Kashtuka na Spika Mstaafu mama Makinda kaonyesha Kushtuka
 
Kati ya watia nia 10,367 ni wangapi waliowah kufanya kazi na Ben Mkapa?

Anawajuaje watia nia wa sasa ambao asilimia kubwa hawakua kwenye siasa ktk awamu ya Mkapa?

mtu alieachana na active politics miaka
Kuna ku connect dots Kuna mitoto , ndugu,na proxies wa wezi mifisadi na vibaka wa Serikalini na CCM sio Kazi ku wa identify.

Kuna wa ndani ya CCM ambao serikalini hawajawahi kanyaga lakini Mkapa alikuwa akiwajua vizuri

2015 ndio kianzie kipimio wasaliti chama wapigwe chini haraka na ripoti ya Katibu mkuu Bashiru Ally itumike kikamilifu na ripoti za CAG za mifisadi ndani ya CCM na serikali zitumike kikamilifu

Raisi ,Bashiru Ally na mzee Mangula hatima ya nchi iko mikononi mwenu mchachamae sababu hiyo mijitu isiyofaa iko serious kuhakikisha inapita ubunge na udiwani kwenye michakato yote tayari kwa 2025 kupora madaraka ya nchi


Msicheke na ngedere mtakuta mbeleni huko shamba limetekwa na ngedere

Huu mchakato wa uteuzi na wa ku hand over nchi je Mnamkabidhi Nani? Kazi kwako Magufuli ,Bashiru Ally na Mangula
 
Pesa ya EPA ilimchafua
Alishakiri kwenye kitabu chake kuwa alikosea wataalamu aliowapa kazi walinmumislead .Mkapa alipompa kazi kibaka Daudi Balali Kama mshauri wake wa uchumi na mkewe Balali ndio waliharibu kumshauri kuanzia ubinafsishaji holela,kuuza Mali za umma kuanzia mashirika Hadi nyumba za serikali na za mashirika ya umma nk
 
Mangula, Bashiru, Polepole, kamati ya maadili, sekretarieti ya kamati kuu, na kamati kuu yenyewe wamsaidie Raisi Magufuli.
 
Mangula hana meno tena. Baada ya kunusurika kifo hawezi kuwa yeye tena. Ya kazi gani afupishe maisha,acha wajiamulie wapendavyo yeye astaafu kwa amani.
 
Back
Top Bottom