Kama kwenye pitch ni hivi kwenye vyumba vya faragha itakuwa balaa..Léo 9/10/2020
Kesho kutwa mechi. T Stars vs Burúndi.
No comment
Nenda kauone leo uwanja uko vizuri tu. Uchafu wote umetolewa. Siku nyingine uache wivu wa kike!!
Weka picha wewe acha maneno miiingiNenda kauone leo uwanja uko vizuri tu. Uchafu wote umetolewa. Siku nyingine uache wivu wa kike!!