Mkasa gani wa ajabu umewahi kukutana nao kwenye mapenzi?

Mkasa gani wa ajabu umewahi kukutana nao kwenye mapenzi?

Wise_lady

New Member
Joined
May 2, 2024
Posts
3
Reaction score
7
Hii ilishawahi kukutokea? Na ulichukua hatuna gani?

Wadada Kwa wakaka itaneni hapa..
.
Ulishawahi kuwa kwenye mapenzi yenye Mikasa ya ajabu mara fumanizi na vitimbili vya Kila namna?

Hatari! Kuna rafiki yangu alipitia magumu kwenye mahusiano yake usaliti, vipigo, masimango na vitu kibao. Siku Moja jamaa yake akamuita wazungumze basi akakubali na kumueleza amebadilika ameiacha Kila kitu.

Rafiki yangu akamwambia kama umebadilika nipe simu yako. Jamaa akampatia simu, Weeh alichokutana nacho ni mtihani. Dunia ina maajabu yake Looh!. Amekuta ujumbe "Fulani bin Fulani nataka huyu mtu asifanikiwe Kwa chochote na umfunge Kila kitu" .

Rafiki yangu alichukia hakujua afanye nini. Je, ungekuwa wewe ungechukua hatua Gani? Na ungefanya nini Kwa huyo mtu? Je huyo jamaa anamapenzi ya ukwel?
 
Hii ilishawahi kukutokea? Na ulichukua hatuna gani?

Wadada Kwa wakaka itaneni hapa..
.
Ulishawahi kuwa kwenye mapenzi yenye Mikasa ya ajabu mara fumanizi na vitimbili vya Kila namna?

Hatari! Kuna rafiki yangu alipitia magumu kwenye mahusiano yake usaliti, vipigo, masimango na vitu kibao. Siku Moja jamaa yake akamuita wazungumze basi akakubali na kumueleza amebadilika ameiacha Kila kitu.

Rafiki yangu akamwambia kama umebadilika nipe simu yako. Jamaa akampatia simu, Weeh alichokutana nacho ni mtihani. Dunia ina maajabu yake Looh!. Amekuta ujumbe "Fulani bin Fulani nataka huyu mtu asifanikiwe Kwa chochote na umfunge Kila kitu" .

Rafiki yangu alichukia hakujua afanye nini. Je, ungekuwa wewe ungechukua hatua Gani? Na ungefanya nini Kwa huyo mtu? Je huyo jamaa anamapenzi ya ukwel?
Umeelezea kuhusu rafiki yako, tunasubiria mkasa wako sasa.
 
Hakuna jambo lilinisumbua sana akili kama kuona mwanamke anamwaga maji wakati namtoumber! Nilihamaki mno! Nilifikiri ni fistula ikanilazimu nifanye utafiti nikagundua sio ugonjwa wala ulemavu.

Ikawa addiction, Kila nikitombar mwanamke natamani amwage maji mengi. Ujana una mambo yake aseeee.

Utoto utumwa, ujana maswali na uzee ugonjwa
 
Baby nina mimba yako. Wakati naambiwa hayo, kidume nina godoro na subwoofer tu.

Huú ndiyo mkasa mkubwa niliyowahi kupitia.
 
Rafiki yangu alichukia hakujua afanye nini. Je, ungekuwa wewe ungechukua hatua Gani? Na ungefanya nini Kwa huyo mtu? Je huyo jamaa anamapenzi ya ukwel?
Huyo rafiki yako ni wewe.

TUSIFANYANE WAJINGA BHANA.

PambanaZaidi/CottonandMore
 
Back
Top Bottom