Mkasa mfupi, mzito wa mapenzi

Binti hana msimamo anadhani ngono itampa maisha bora zawadi atakayopewa ni ukimwi na huyo Mwanaume aliyetenda hayo yaani natetemeka kwa hasira
 
Nakumbuka rafiki yangu kipenzi walikuwa wanaliwa na shemeji yao anawapima ngoma ukikutwa huna unaambiwa usilete kifaa humu ndani .
Koma .
Unapigwa fimbo wee halafu unapewa matunzo so shem wao anawala wote wanne .
Ukiona kamla dada yao ujue ni mimba akazae tu basi.
Wakimaliza shule anawatafutia kazi nzuri na anaendelea kupigwa miti mpaka aolewe .
Anahakikisha hawapi maradhi wala mimba .
Wadada wawatu ni wazuri wanaona ni haki kisa wanashida .
Pisi kali ni miumboo nawamepangiliana siku dada hajui kabisa
 
Shida ipo hivi binadamu ni binadamu ukamwambia kwa uzuri akakuona mmbaya bora utoe upewe raha,akisanuka unadai huniamini mie ndugu yako basi nilikubali kisa sina msaada
 
Shida ipo hivi binadamu ni binadamu ukamwambia kwa uzuri akakuona mmbaya bora utoe upewe raha,akisanuka unadai huniamini mie ndugu yako basi nilikubali kisa sina msaada
Ukute shemeji wakati anamuoa dada hakumkuta na bikra so anaamua kutoa sild moja moja za mashemeji zake kiroho safi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama Kuna shemeji mwingine yupo darasa la sita ajiandae baada ya miaka miwili anakuja kusoma secondary mjini.
 
Mmhhh this is very sad.Umekubali kujidhalilisha wewe na familia yako kwa sababu za kipuuzi.Bora hata ungerudishwa kijijini kuliko kujirahisisha kwa shemeji yako namna hii.

Kuna siku dadaako atajua tu hata kama unaficha, kila kitu kina mwanzo na mwisho.Duniani hakuna siri na msipokuwa makini mtabeba mpaka mimba wote!

Dadaako ni dadaako damu ni nzito kuliko maji mwambie ukweli hata kama hatakuamini japo majeraha tayari ni makubwa kwasababu mmeshalala na shemeji yenu wote wawili lakini kuna litakalomkuta mbeleni atajutia mwenyewe.Yaani ungesema mapema mngetegeshea hata mtego amnase ile awafume ghafla ili ajionee mwenyewe dhamira yake...

Kumbuka nyinyi ni ndugu huyo mwanaume ndo wakuja tu lakini dah this is messed up,yaani hata ufanye nini all of you need to live with this mess for the rest of ur lives at so young age,its a misery.
 
Duh. Generational curses zina endeleza hivi. Sisi wanaume tuna feli wapi na hizi hamu zetu jamani? Hakuna anae fikiria "rape charges" ata maana hatuwezi sema ilikuwa consensual toka mwanzo.

Binti, bado una maisha marefu mbele yako. Bila cheti cha shule itakuwa ngumi kuji inua haswa kutokana una mtegemea dada yako. Alicho fanya shemeji wako sio sahihi. Hata kama umezowea sasa, lazima ujitoe kwenye mazingira hayo chap chap. Juu chini lazima uende boarding ujitahidi ufaulu huko
 
Wao wanajuana nahawako tu olevel pia chuo
 
Pole sana dogo..hi ndio shida ya umaskini. Kwa vile najua nguvu ya mapenzi..nashauri muondoke hapo. Kama mdau hapo juu alivoshauri..omba kuhamia boarding...ikiwezekana..nenda kaongee na.mwalimu unaemwamini kuhusu unayopitia..wao ndio waweke shinikizo la nyie kukaa boarding..hata ikibidi kusema sikuhizi haufanyi vizuri ktk masomo au kwamba unamarafiki wabaya..sababu ziko nyingi. Naamini dada ataelewa..na kufanya.mpango wa kuwahamisha. Ukithubutu kumwambia dadako..kaa tayari kukosa undugu na masomo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…