Mkasa wa David Musyoka ni pure horror movie!

Mkasa wa David Musyoka ni pure horror movie!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
David Musyoka ni Dereva wa Halmashauri huko Kenya, Kitui County.

Siku kaamka vizuri tu na kaenda kazini, akatumwa sehemu kikazi naye kama kwaida kawasha gari akaingia barabarani.

Mara akiwa barabarani anaendesha akaona watu wanashangaa ndege tai kashika nyoka.

Yule ndege tai akamwachia nyoka juu ya gari la Musyoka na akatokomea.

Huyo nyoka akaona dirisha la dereva liko wazi, hakukosea mara akingia ndani.

Musyoka kutaharuki, nyoka akamwuma mkononi na hakuachia akaendelea kuuma.

Musyoka akatoka ndani ya gari akipiga makelele, wale watu waliliona tukio wakasogelea na kumponda ponda yule nyoka na kumwua.

Cha ajabu sasa, wakati wale wasamaria wema wanamtafutia first aid Musyoka ikiwa pamoja na kusimamisha gari kumpeleka hospitali, yule ndege tai akatokea tena na kumchukua yule nyoka na kutokomea naye angani!

Sasa hapa tunahitaji PhD ya Mshana Jr kudadavua tukio.

 
Jamaa ana bahati sana, lakini huyo nyoka itakuwa alishakuwa na panick attack sababu alishapambana na Tai na alijitoa kwenye makucha yake so by any chance angmng'ata yeyote ambaye angekutana nae sababu alishaingia uoga.

Jamaa amshukuru Mungu wake kwa kuwepo watu karibu waliomsaidia otherwise angetumbukizwa sumu yote mpaka ageuke mweusi kama mkaa.
 
Jamaa ana bahati sana, lakini huyo nyoka itakuwa alishakuwa na panick attack sababu alishapambana na Tai na alijitoa kwenye makucha yake so by any chance angmng'ata yeyote ambaye angekutana nae sababu alishaingia uoga.

Jamaa amshukuru Mungu wake kwa kuwepo watu karibu waliomsaidia otherwise angetumbukizwa sumu yote mpaka ageuke mweusi kama mkaa.

Umeiweka vizuri, sema watu watahusisha ushirikina ilhali ni tukio linaloelezeka vizuri tu, tai hakupaa kwenda mbali, lazima alikua anachezea karibu kujua hatima ya msosi wake na alipoona fursa akajichukulia.
 
Jamaa ana bahati sana, lakini huyo nyoka itakuwa alishakuwa na panick attack sababu alishapambana na Tai na alijitoa kwenye makucha yake so by any chance angmng'ata yeyote ambaye angekutana nae sababu alishaingia uoga.

Jamaa amshukuru Mungu wake kwa kuwepo watu karibu waliomsaidia otherwise angetumbukizwa sumu yote mpaka ageuke mweusi kama mkaa.
Mpaka hapo ilikuwa si habari mpaka yule tai aliporejea na kumchukua nyoka wake kibudu
 
Jamaa ana bahati sana, lakini huyo nyoka itakuwa alishakuwa na panick attack sababu alishapambana na Tai na alijitoa kwenye makucha yake so by any chance angmng'ata yeyote ambaye angekutana nae sababu alishaingia uoga.

Jamaa amshukuru Mungu wake kwa kuwepo watu karibu waliomsaidia otherwise angetumbukizwa sumu yote mpaka ageuke mweusi kama mkaa.
Kwa nyoka lazima upanick, apanick na yeye, halafu mnapanickiana.

Kinachojiri sasa lazima mmoja aumie.
 
David Musyoka ni Dereva wa Halmashauri huko Keya, Kitui County.

Siku kaamka vizuri tu na kenda kazini, akatumwa sehemu kikazi naye kama kwaida kawasha gari akaingia barabarani.

Mara akiwa barabarani anaendesha akaona watu wanashangaa ndege tai kashika nyoka.

Yule ndege tai akamwachia nyoka juu ya gari la Musyoka na akatokomea.

Huyo nyoka akaona dirisha la dereva liko wazi, hakukosea mara akingia ndani.

Musyoka kutaharuki, nyoka akamwuma mkononi na hakuachia akaendelea kuuma.

Musyoka akatoka ndani ya gari akipiga makelele, wale watu waliliona tukio wakasogelea na kumponda onda yule nyoka na kumwua.

Cha ajabu sasa, wakati wale wasamaria wema wanamtafutia first aid Musyoka kiwa pamoja na kusimamisha gari kumpeleka hospitali, yule ndege tai akatokea tena na kumchukua yule nyoka na kutokomea naye angani!

Sasa hapa tunahitaji PhD ya Mshana Jr kudadavua tukio.

Sasa hapa tunahitaji PhD ya Mshana Jr kudadavua tukio.[emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nilijua habari kama hizi hautachezea mbali wewe ambaye unafahamika kama mkali wa wanga humu JF.....
Hii habari haifikii ile ya yule Jamaa wa Nyeri nadhani aliyefukuza nyuki kwenye supu ya yule mama na akaishia kufariki
 
David Musyoka ni Dereva wa Halmashauri huko Keya, Kitui County.

Siku kaamka vizuri tu na kenda kazini, akatumwa sehemu kikazi naye kama kwaida kawasha gari akaingia barabarani.

Mara akiwa barabarani anaendesha akaona watu wanashangaa ndege tai kashika nyoka.

Yule ndege tai akamwachia nyoka juu ya gari la Musyoka na akatokomea.

Huyo nyoka akaona dirisha la dereva liko wazi, hakukosea mara akingia ndani.

Musyoka kutaharuki, nyoka akamwuma mkononi na hakuachia akaendelea kuuma.

Musyoka akatoka ndani ya gari akipiga makelele, wale watu waliliona tukio wakasogelea na kumponda onda yule nyoka na kumwua.

Cha ajabu sasa, wakati wale wasamaria wema wanamtafutia first aid Musyoka kiwa pamoja na kusimamisha gari kumpeleka hospitali, yule ndege tai akatokea tena na kumchukua yule nyoka na kutokomea naye angani!

Sasa hapa tunahitaji PhD ya Mshana Jr kudadavua tukio.

Nilijua habari kama hizi hautachezea mbali wewe ambaye unafahamika kama mkali wa wanga humu JF.....

 
Kwa nyoka lazima upanick, apanick na yeye, halafu mnapanickiana.

Kinachojiri sasa lazima mmoja aumie.

Nimecheka baada ya kukumbuka tukio moja mtaani, jamaa alitokea mkesha kanisani na kurudi kwake, sasa humo kulikua na mwanya sehemu ambapo paka wa jirani alitumia na kuingia kwa jamaa, sasa mshikaji alipogundua kuna lipaka humo akaanza kukemea kwa maneno ya kiajabu ajabu mpaka majirani wakaja, hatimaye ilikua kicheko pale ilipobainika alikua paka wa jirani kapitia tu kwenye mwanya wala haikua jini au pepo....sema jamaa alipanick na kuingia kwenye sayari nyingine kwa maombi balaa ya kufoka.
 
Nimecheka baada ya kukumbuka tukio moja mtaani, jamaa alitokea mkesha kanisani na kurudi kwake, sasa humo kulikua na mwanya sehemu ambapo paka wa jirani alitumia na kuingia kwa jamaa, sasa mshikaji alipogundua kuna lipaka humo akaanza kukemea kwa maneno ya kiajabu ajabu mpaka majirani wakaja, hatimaye ilikua kicheko pale ilipobainika alikua paka wa jirani kapitia tu kwenye mwanya wala haikua jini au pepo....sema jamaa alipanick na kuingia kwenye sayari nyingine kwa maombi balaa ya kufoka.
Hahaaaaa. Aliebaki kituko muda sana sipati picha.

Hakuhama mtaani?
 
Sasa hapa tunahitaji PhD ya Mshana Jr kudadavua tukio.[emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu ni kweli, ndege tai alipomrudia baada ya kumdondosha nyoka sasa ndo ikawa balaa.
Ametumwa?
N alikuwa hataki ushahidi!!
 
Back
Top Bottom