Kipepeo wa chuma1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2021
- 387
- 557
Habari za usiku wanajamvi, poleni na pilika za kutafuta ugali.Basi bwana baada ya kutishwa na bi mkubwa kuhusu mumewe,mie nikarudi daslam baada ya mishe zangu mkoa kukamilika.
Siku nafika jamaa (mume wetu)alikuwa nyumbani kwa bi mkubwa,Ila alijua Niko njiani na hata nilipofika nilimtaarifu tukazungumza,tukakubaliana tuonane siku inayofuata.
Kesho yake nikaamka na ratiba nikaingia mjini kukamilisha ratiba.Akanipigia saa 6 mchana nikamwambia nilipo akanifata.Akanisubiri nikakamilisha
mizunguko yangu.Kwenye saa 10 tukaondoka tukatafuta lodge moja tukaagiza msosi na vinywaji tukajichimbia.Hakurudi kwake siku hiyo.
Kesho yake tukaamka tukapata kifungua kunywa,then nikawa na ratiba afu ilikuwa jumamosi,akanambia nakupeleka Kweli tukaenda,tukarudi jioni ,nikamwambia so Rudi kwako tuonane kesho, akanambia hapana wikendi hii nikikuacha watakuja wakupeleke club,so tupumzike au twende club,tukaenda club,tukaruka majoka na kurudi alfaji.Tumeamka saa 5 asubuhi tukaoga tukapata supu tukarudi kulala Hadi jioni.Mind hapo Ana siku mbili hajarudi kwake.
Jioni tukatoka tukakaa bustanini hapo lodge tukipiga soga na kunywa mbili tatu.Nikamwambia babe Rudi home akanambia hapana tukaondoka wote.Kifupisha story yule mkewe aliniendea sehemu kuniharibia kwa mumewe anichukie na kuniharibia Mimi Kama Mimi,sema mie Nina mzee wangu mtaalamu alikuwa anaona kila kitu akawa ananambia afu tunapangua.
Si kila mwanamke ana lengo la kuharibu ndoa ya mtu, mapenz yanatokea na wengine tumeridhia kuwa wake wadogo bila kelele Wala vurugu🙅kistaarabu tu.Naheshimu ndoa yenu Ila nami nimependwa ,nimependa na nimeridhia kuwa bi mdogo ukizingatia jamaa ni Moslem na ameridhia kuongeza mke.
Pitia Uzi huu kwa rejea:
www.jamiiforums.com
Siku nafika jamaa (mume wetu)alikuwa nyumbani kwa bi mkubwa,Ila alijua Niko njiani na hata nilipofika nilimtaarifu tukazungumza,tukakubaliana tuonane siku inayofuata.
Kesho yake nikaamka na ratiba nikaingia mjini kukamilisha ratiba.Akanipigia saa 6 mchana nikamwambia nilipo akanifata.Akanisubiri nikakamilisha
mizunguko yangu.Kwenye saa 10 tukaondoka tukatafuta lodge moja tukaagiza msosi na vinywaji tukajichimbia.Hakurudi kwake siku hiyo.
Kesho yake tukaamka tukapata kifungua kunywa,then nikawa na ratiba afu ilikuwa jumamosi,akanambia nakupeleka Kweli tukaenda,tukarudi jioni ,nikamwambia so Rudi kwako tuonane kesho, akanambia hapana wikendi hii nikikuacha watakuja wakupeleke club,so tupumzike au twende club,tukaenda club,tukaruka majoka na kurudi alfaji.Tumeamka saa 5 asubuhi tukaoga tukapata supu tukarudi kulala Hadi jioni.Mind hapo Ana siku mbili hajarudi kwake.
Jioni tukatoka tukakaa bustanini hapo lodge tukipiga soga na kunywa mbili tatu.Nikamwambia babe Rudi home akanambia hapana tukaondoka wote.Kifupisha story yule mkewe aliniendea sehemu kuniharibia kwa mumewe anichukie na kuniharibia Mimi Kama Mimi,sema mie Nina mzee wangu mtaalamu alikuwa anaona kila kitu akawa ananambia afu tunapangua.
Si kila mwanamke ana lengo la kuharibu ndoa ya mtu, mapenz yanatokea na wengine tumeridhia kuwa wake wadogo bila kelele Wala vurugu🙅kistaarabu tu.Naheshimu ndoa yenu Ila nami nimependwa ,nimependa na nimeridhia kuwa bi mdogo ukizingatia jamaa ni Moslem na ameridhia kuongeza mke.
Pitia Uzi huu kwa rejea:
Njia panda ya mapenzi
Habari za mchana wadau. Ni hivi ni takriban miezi sita Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu,tunapendana Sana na tumespend Sana kipindi cha miez mitano iliyopita bila mkewe kujua. Nikapata Safari mkoa flan,tukawa tunawasiliana kwenye simu almost every day and night.Sasa mhusika akawa hafuti zile...