Mkasa wa Marcelo kufuga nywele ili tu watu wasimchanganye na Robinho

Mwanadiplomasia Mahiri

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
491
Reaction score
1,907
Baada ya Marcelo kwenda Real Madrid walikutana pale na Mbrazil mwenzake Ribson Robinho aliyekuwa star wa timu.

Marcelo akiwa ananyoa kipindi hiko akajijuta anafanana sana na Robinho kiasi cha baadhi ya mashabiki kushindwa kuwatofautisha mpaka waangalie namba za jezi.

Marcelo akaona isiwe tabu, akaanza kufuga nywele ili tu ajitofautishe na Robinho, bahati mbaya walicheza msimu mmoja tu kabla ya Robinho kutimkia zake Man City ambapo huko nako upepo haukumuendea vizuri.
 

Aisse kweli walikuwa wanafanana.
 
Hapo juu,yeye ndio upande upi? Wamefanana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…