Nimelisoma yeye mzee wenu haya hayajui kwakuwa sio waislamu na hawakuishi manyema, tandamti, gerezani, magomeni na viunga vinginevyo vya barazani
Inside...
Nimeweka link.
Nimeeleza kuwa nimekisoma "Ten Africans" na kipo kitabu hiki katika Bibliography ya "The Life and Times of Abdulwahid Sykes..."
Nikaendelea kueleza kuwa Martin Kayamba yupo pia katika, "Modern Tanzanians," kitabu chenye Biography kadhaa lakini zilizonivutia ni tatu ya Kleist Sykes, Martin Kayamba na ya Ali Juma Ponda na Hassan Suleiman.
Hiki kitabu pia kipo katika Bibliography ya kitabu cha Sykes.
Katika "Modern Tanzanians," Martin Kayamba anaelezwa kama kibaraka na Erica Fiah alipomwandikia taazia baada ya kifo chake.
Erica Fiah alichapa taazia hii katika gazeti lake Kwetu.
Vitabu hivi nimevisoma katika miaka ya 1980.
Ndugu yangu hujafika makamo ya kunikejeli katika kusoma na kuandika wala kunikejeli kuwa mimi ni mtu wa Kariakoo.
Naijua dunia: Durban, J'burg, Sun City, Cape Town, Mbabane, Manzini, Harare, Bulawayo, Lusaka, Maputo, Mombasa, Nairobi, Naivasha, Kampala, Jinja, Entebbe, Addis Ababa, Khartoum, Omdurman, Jazeera, Cairo, Alexandria, Port Said, Ismailiyya, Suez, Damieta, Mehal El Kubra,Tanta, Lagos, Ibadan, Aden, Taiz, Sanaa, Jeddah, Makka, Madina, Dubai, Muscat, North Sea, London, Glasgow, Edinburgh, Cardiff, Berlin, Humburg, Amsterdam, Hague, Geneva, Paris, Le Havre, Iowa City, Chicago, New York, New Jersey, Washington, Istanbul.