Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema



Kumbe hata huko ukileta za kiwaki unaeza pigwa chuma duh!!!
Kweli yanarun dunia
 
Habari wakuu,
Naomba mniwie radhi siku ya leo nimepata changamoto ya usafiri, sitaweka mwendelezo kwa wakati. Niko mbali na device yenye hilo faili, nategemea kufika kuanzia sa 5 usiku.

Leo usiku au kesho mapema nitaweka mwendelezo. Nivumilieni.

Pia uongozi wa jf Maxence Melo hawatoi ushirikiano kuhusu hilo tatizo la notification, nimewasiliana na wahusika, wako kimya, inaboa sana. Hakuna maana tena ku tag maana mlengwa hapati taaria.

Kiitos
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…