Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Ni mwendo wa kinywaji baridi kwa glass, mkono mmoja a piece of cigar huku box linanisubir kwa meza, nashusha parts tu afanalek!.
Slogan says, "keep your life profile low, be straightforward, be humble and get out of trouble, enjoy life".
👍
 
Habari brother. Maisha ya mwanadamu ni safari ndugu yangu. Natumaini Mungu atawatia nguvu katika kipindi hiki cha kuomboleza. Safari yetu ni moja kwani uko siku moja tutakula karamu moja na wapendwa wetu waliotangulia mbele ya haki. .
 
Habari brother. Maisha ya mwanadamu ni safari ndugu yangu. Natumaini Mungu atawatia nguvu katika kipindi hiki cha kuomboleza. Safari yetu ni moja kwani uko siku moja tutakula karamu moja na wapendwa wetu waliotangulia mbele ya haki. .
🤣🤣🤣Leo kichwa imetulia, nadhani hujagusa mbege bado.

Next part soma kwa makini, kuna kitu big sana kama mhitimu wa Venezuela 😂😂
 
🤣🤣🤣Leo kichwa imetulia, nadhani hujagusa mbege bado.

Next part soma kwa makini, kuna kitu big sana kama mhitimu wa Venezuela 😂😂
Acha tu nina kichanga juzi hapo tumeruhusiwa hospital maana mke wangu alijifungua kwa c section. Sasa kurudi home mtoto aliumwa kavimba Macho hata kufungua hawezi. Hospital mara doctor anasema kakojoa damu mara aisee acha tu. Nikajua tena hapa ndio Basi. Ila Mungu ni mwema baada ya sindano ya allergy na sindano antibiotics mtoto anaendelea vizuri😀 ndio maana akili imenikaa sawa. .
 
Amen mkuu I appreciate
 
Pole sana, salimia mama na mtoto
 
Wema
Kaamua kua kiba,,,,, mie namjua yule Wema wa dr remy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…