Mkasome vitabu vya Kiswahili darasa la pili mpaka darasa la nne ili muweze kuandika na kuongea vizuri

Mkasome vitabu vya Kiswahili darasa la pili mpaka darasa la nne ili muweze kuandika na kuongea vizuri

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hongera kwa watunzi wa vitabu, hongera kwa wahakiki .

Vitabu vile vya Lugha ya Kiswahili darasa la pili mpaka darasa la nne vinatosha kabisa kufanya kumfanya mtu ajue kuzungumza na kuandika Kiswahili fasaha.

Nyie ambao mnatia aibu hebu nendeni mkatafute hivyo vitabu viwatoe tongotongo.

Ni aibu sana msomi kuandika embu , ote, chakura, kurara, kalanga, chula, asa ivi , iki, hita, golofa, gorofa, maafali, mahali(bride price), mahari (location),mwariko, lisala.

Usione aibu kwakuwa una shahada kichwani. Kajifunze.
Mke wangu wa darasa la saba kawazidi wasomi kwenye uandishi.
 
Labda maandishi unayoyaona hapo ni kwa wabongo ambao hawajazaliwa tz mkuu usihukumu
 
Hongera kwa watunzi wa vitabu, hongera kwa wahakiki .

Vitabu vile vya Lugha ya Kiswahili darasa la pili mpaka darasa la nne vinatosha kabisa kufanya kumfanya mtu ajue kuzungumza na kuandika Kiswahili fasaha.

Nyie ambao mnatia aibu hebu nendeni mkatafute hivyo vitabu viwatoe tongotongo.

Ni aibu sana msomi kuandika embu , ote, chakura, kurara, kalanga, chula, asa ivi , iki, hita, golofa, gorofa, mahafali, mahali(bride price), mahari (location),mwariko, lisala.

Usione aibu kwakuwa una shahada kichwani. Kajifunze.
Mke wangu wa darasa la saba kawazidi wasomi kwenye uandishi.
Hapo ulipoandika MAHAFALI kuna shida gani mkuu.
 
Siku hizi kuna uharibifu wa lugha ya Kiswahili. Mfano, dhana ya ukanushi haitumiki sana na watu, neno 'Hata' watu wamekuwa wakiandika 'Ata'. Matumizi ya herufi 'h' hayatumiwi ipasavyo, mfano, watu huandika 'akuna' au 'apana' badala ya 'Hapana'. Nakadhalika
 
Hongera kwa watunzi wa vitabu, hongera kwa wahakiki .

Vitabu vile vya Lugha ya Kiswahili darasa la pili mpaka darasa la nne vinatosha kabisa kufanya kumfanya mtu ajue kuzungumza na kuandika Kiswahili fasaha.

Nyie ambao mnatia aibu hebu nendeni mkatafute hivyo vitabu viwatoe tongotongo.

Ni aibu sana msomi kuandika embu , ote, chakura, kurara, kalanga, chula, asa ivi , iki, hita, golofa, gorofa, mahafali, mahali(bride price), mahari (location),mwariko, lisala.

Usione aibu kwakuwa una shahada kichwani. Kajifunze.
Mke wangu wa darasa la saba kawazidi wasomi kwenye uandishi.
mkuu neno mahafali sio kiswahili fasaha,??
zamani tulikuwa tunalitumia neno mahafali kumaanisha graduation siku hizi limebadilika?
 
Back
Top Bottom