Mkataba hauifungi DP World isiwekeze Congo na Rwanda. Waliizunguka Djibouti mizigo ya Ethiopia na Somalia ikawa kesi

Mkataba hauifungi DP World isiwekeze Congo na Rwanda. Waliizunguka Djibouti mizigo ya Ethiopia na Somalia ikawa kesi

Verrazanno

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2021
Posts
454
Reaction score
1,011
90

Associated Press

Djibouti walicheza ngoma bandarini siku ya kwanza.

Leo Djibouti wanalia machozi, DP World wamefukuzwa, Djibouti wanasema wameibiwa, wamelipa madola ya mafaini na magharama ya kesi za kimataifa. Hukumu ya siku za karibuni ilitoka mwezi May 2023 Washington DC.

Kesi mahakamani ni kwamba DPW, kwa sababu ya mtandao wake mpana majini na ardhini, walitumia vichochoro mbadala kupitisha bidhaa za wateja wa Djibouti (Ethiopia na Somalia) bila kuinufaisha Djibouti. Djibouti wakawafukuza, wakashtakiwa Uingereza. Wameshindwa kila kesi, kila rufaa. Wanalia machozi. Mzungu akisaini mkataba au akizindua biashara hachezi chezi ngoma kwa saab anajua yakienda kombo picha ya ngoma itatumika kumcheka. Turudi Tanganyika na jirani zake.

DP World na Rwanda.
Hivi tunavyoongea tayari kuna mahusiano ya kiuchukuzi kati ya Rwanda na DPW. Website ya DPW inasema wanai service Rwanda kwa kutumia barabara na bandari za Mombasa na D'Salaam. Kwa hiyo jamaa wana uwezo na upeo wa kutumia bandari yako kufanya biashara na wateja wako wa bandari bila hata kumiliki hiyo bandari yako. Wakimiliki inakuwaje?

DP World na DRC Congo
Mwaka wa juzi 2021, DPW walifunga MOU ya kuendeleza bandari ya Banana Port. Mwaka jana 2022 Dubai ikalalamika kwamba DRC imekuwa goigoi kuendeleza makubaliano yao ya Banana Port. Hii iko upande wa pili wa Afrika kule Atlantic, ambako DPW ikianza kazi kule huku Tanganyika hatuoni chochote kinachoendelea.

Kwa hiyo basi, DPW itakapokuwa ina run bandari za DSM, ya Banana, na Kigali (bandari kavu) watakuwa wanachakata mizigo kwa namna ambayo ina maximize profit kwao wao DPW. Watatumia computer algorithm hizo hizo zilizofanya tuwalete tuliposema "mifumo haisomani." Sasa itasomana kisawa-sawa. Nchi nne. Lakini itasomana kutokea Dubai, nyinyi hamtapewa muisome. Computer itachagua the most profitable route for DPW, sio TPA.

Mkataba unatubana sisi kujifunga na DPW lakini hauibani DPW kutofanya biashara na wateja wetu. DP World wanaenda kupoka biashara ya TPA na jirani zetu.

For Tanzania, it's the most horrendous contract in all history.
 
Moderators, mbona mmeondoa sources zote za taarifa nilizotoa ??..... habari inaaminika vipi bila sources ?

Bandari ya Congo na DP World inayoenda kujengwa Atlantic Ocean

Bandari kavu ya Rwanda na DP World....
DP World Expands Rwanda’s Consumer Goods Portfolio While Enabling Greater Trade Investment

Taarifa ya Associated Press inayoelezea DP World walivyoanzisha njia za panya kuizunguka Djibouti
 
90

Associated Press

Djibouti walicheza ngoma bandarini siku ya kwanza.

Leo Djibouti wanalia machozi, DP World wamefukuzwa, Djibouti wanasema wameibiwa, wamelipa madola ya mafaini na magharama ya kesi za kimataifa. Hukumu ya siku za karibuni ilitoka mwezi May 2023 Washington DC.

Kesi mahakamani ni kwamba DPW, kwa sababu ya mtandao wake mpana majini na ardhini, walitumia vichochoro mbadala kupitisha bidhaa za wateja wa Djibouti (Ethiopia na Somalia) bila kuinufaisha Djibouti. Djibouti wakawafukuza, wakashtakiwa Uingereza. Wameshindwa kila kesi, kila rufaa. Wanalia machozi. Mzungu akisaini mkataba au akizindua biashara hachezi chezi ngoma kwa saab anajua yakienda kombo picha ya ngoma itatumika kumcheka. Turudi Tanganyika na jirani zake.

DP World na Rwanda.
Hivi tunavyoongea tayari kuna mahusiano ya kiuchukuzi kati ya Rwanda na DPW. Website ya DPW inasema wanai service Rwanda kwa kutumia barabara na bandari za Mombasa na D'Salaam. Kwa hiyo jamaa wana uwezo na upeo wa kutumia bandari yako kufanya biashara na wateja wako wa bandari bila hata kumiliki hiyo bandari yako. Wakimiliki inakuwaje?

DP World na DRC Congo
Mwaka wa juzi 2021, DPW walifunga MOU ya kuendeleza bandari ya Banana Port. Mwaka jana 2022 Dubai ikalalamika kwamba DRC imekuwa goigoi kuendeleza makubaliano yao ya Banana Port. Hii iko upande wa pili wa Afrika kule Atlantic, ambako DPW ikianza kazi kule huku Tanganyika hatuoni chochote kinachoendelea.

Kwa hiyo basi, DPW itakapokuwa ina run bandari za DSM, ya Banana, na Kigali (bandari kavu) watakuwa wanachakata mizigo kwa namna ambayo ina maximize profit kwao wao DPW. Watatumia computer algorithm hizo hizo zilizofanya tuwalete tuliposema "mifumo haisomani." Sasa itasomana kisawa-sawa. Nchi nne. Lakini itasomana kutokea Dubai, nyinyi hamtapewa muisome. Computer itachagua the most profitable route for DPW, sio TPA.

Mkataba unatubana sisi kujifunga na DPW lakini hauibani DPW kutofanya biashara na wateja wetu. DP World wanaenda kupoka biashara ya TPA na jirani zetu.

For Tanzania, it's the most horrendous contract in all history.
Kusikia Kwa Kenge.....!
 
SWALI langu. Katika huo Mkataba na Dp world, Kuna kipengele ambacho Tanzania inawazuwia Dpw wasiwekeze kwenye nchi Jirani au yoyote shindani na Tanzania?

Endapo tutakimbilia kuuza Bandari na Bado WAKENYA nao wakawaita Dpw kwao na kuwekeza. Je, tunaweza kuziwia ili lengo na kumkomoa Kenya litimie?
 
SWALI langu. Katika huo Mkataba na Dp world, Kuna kipengele ambacho Tanzania inawazuwia Dpw wasiwekeze kwenye nchi Jirani au yoyote shindani na Tanzania?

Endapo tutakimbilia kuuza Bandari na Bado WAKENYA nao wakawaita Dpw kwao na kuwekeza. Je, tunaweza kuziwia ili lengo na kumkomoa Kenya litimie?
Lengo la kumkomoa Kenya we umelitoa wapi?.
 
Kwa hiyo basi, DPW itakapokuwa ina run bandari za DSM, ya Banana, na Kigali (bandari kavu) watakuwa wanachakata mizigo kwa namna ambayo ina maximize profit kwao wao DPW. Watatumia computer algorithm hizo hizo zilizofanya tuwalete tuliposema "mifumo haisomani." Sasa itasomana kisawa-sawa. Nchi nne. Lakini itasomana kutokea Dubai, nyinyi hamtapewa muisome. Computer itachagua the most profitable route for DPW, sio TPA
FaizaFoxy
===
Maelezo mengine kutoka AP juu ya DP World ilivyowachezea shele Djibout
******
DP World is seeking billions of dollars in damages. International courts and tribunals have already awarded it some $686.5 million in damages, and the 2006 concession to operate the port remains in force, the company said.


The Doraleh Container Terminal is the largest employer and biggest source of revenue in Djibouti, and has operated at a profit every year since it opened, according to DP World.

Djibouti seized the container terminal after DP World created another corridor for imports to landlocked Ethiopia in Somaliland, endangering Djibouti’s near-monopoly on Ethiopia’s imports.
 
Back
Top Bottom