Huu mkataba umeleta mganyiko katika jamii mgawanyiko mkubwa sana. Hivi tukiuacha tunakosa nini? Mbona kama madhara yanayoweza kujitokeza ni mengi ikiwa tutang'angania mkataba huu? Baada ya mgawanyiko unaweza kujitokeza nani atawapatanisha
1. CCM na Chadema
2. Serikali na wananchi
3. Muislam na Mkristo
4. Mprotestanti na Mkatoliki?
Waraka wa TEC Mimi ninavyoona ni kwamba umekuja baada ya Bunge, Serikali, mahakama kutoa maoni yao. Sasa Waraka wa TEC maana yake ni kwamba Wananchi wamekataa mapendekezo ya CCM, mapendekezo ya Bunge, mapendekezo ya Serikali, mapendekezo ya mahakama mapendekezo ya Serikali, Bunge na mahakama vimekataliwa, tumeamua twende makanisani na misikitini, je, tunaamini tutapata suluhisho? TISS muko kazini kweli? TISS mmejiridhisha kuwa KKKT na Sabato ndiyo wengi kuliko Katoliki na makanisa mengine ya kiroho.
Hivi hatuwezi kutafuta suluhisho jengine kuliko ku-involve hizi Dini? Serious?
1. CCM na Chadema
2. Serikali na wananchi
3. Muislam na Mkristo
4. Mprotestanti na Mkatoliki?
Waraka wa TEC Mimi ninavyoona ni kwamba umekuja baada ya Bunge, Serikali, mahakama kutoa maoni yao. Sasa Waraka wa TEC maana yake ni kwamba Wananchi wamekataa mapendekezo ya CCM, mapendekezo ya Bunge, mapendekezo ya Serikali, mapendekezo ya mahakama mapendekezo ya Serikali, Bunge na mahakama vimekataliwa, tumeamua twende makanisani na misikitini, je, tunaamini tutapata suluhisho? TISS muko kazini kweli? TISS mmejiridhisha kuwa KKKT na Sabato ndiyo wengi kuliko Katoliki na makanisa mengine ya kiroho.
Hivi hatuwezi kutafuta suluhisho jengine kuliko ku-involve hizi Dini? Serious?