Mkataba unaotambulika kisheria inabidi uwe na sifa gani?

Mkataba unaotambulika kisheria inabidi uwe na sifa gani?

Idrissou02

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
354
Reaction score
656
Habarini wadau,

Ebana mimi nataka kuingia ubia na biashara flan ya mtu mwingine kama mwekezaji. Sasa makubaliano tiyari tunayo hivyo tupo kwenye hatua ya mkataba.

Naomba kuuliza je mkataba huo inabidi uwe umepitiwa na kusainiwa na mtu mwingine yeyote kama mwanasheria au mtendaji wa eneo husika au utakua ni halali hatakama tumesaini sisi tu wawili tunaoingia makubaliano?

Nauliza ili kama ikija kutokea changamoto yeyote basi mkataba uweze kutumika kwenye vyombo vya dola.
 
Habarini wadau,

Ebana mimi nataka kuingia ubia na biashara flan ya mtu mwingine kama mwekezaji. Sasa makubaliano tiyari tunayo hivyo tupo kwenye hatua ya mkataba.

Naomba kuuliza je mkataba huo inabidi uwe umepitiwa na kusainiwa na mtu mwingine yeyote kama mwanasheria au mtendaji wa eneo husika au utakua ni halali hatakama tumesaini sisi tu wawili tunaoingia makubaliano?

Nauliza ili kama ikija kutokea changamoto yeyote basi mkataba uweze kutumika kwenye vyombo vya dola.
google, acha kutafuniwa kila kitu, read intensively and extensively
 
Habarini wadau,

Ebana mimi nataka kuingia ubia na biashara flan ya mtu mwingine kama mwekezaji. Sasa makubaliano tiyari tunayo hivyo tupo kwenye hatua ya mkataba.

Naomba kuuliza je mkataba huo inabidi uwe umepitiwa na kusainiwa na mtu mwingine yeyote kama mwanasheria au mtendaji wa eneo husika au utakua ni halali hatakama tumesaini sisi tu wawili tunaoingia makubaliano?

Nauliza ili kama ikija kutokea changamoto yeyote basi mkataba uweze kutumika kwenye vyombo vya dola.
Tafuta mwanasheria awatengenezee hiyo contract. Au apitie huo mliotengeneza na kuboresha mapungufu. Hii itakusaidieni kulinda haki zenu.
 
Habarini wadau,

Ebana mimi nataka kuingia ubia na biashara flan ya mtu mwingine kama mwekezaji. Sasa makubaliano tiyari tunayo hivyo tupo kwenye hatua ya mkataba.

Naomba kuuliza je mkataba huo inabidi uwe umepitiwa na kusainiwa na mtu mwingine yeyote kama mwanasheria au mtendaji wa eneo husika au utakua ni halali hatakama tumesaini sisi tu wawili tunaoingia makubaliano?

Nauliza ili kama ikija kutokea changamoto yeyote basi mkataba uweze kutumika kwenye vyombo vya dola.
Ni vizuri mkaupeleka kwa mwanasheria ili uwe kihalali zaidi, na ikusaidie huko mbele ya safari kama ikitokea sintofahamu yoyote
 
Back
Top Bottom