GODLIVER CHARLE
Member
- Mar 2, 2011
- 86
- 20
Ndugu zanguni; tarehe 30 Jan, 2012 niliasaini mkataba wa ajira inayoanza tar. 31 Jan hadi 31 JAN 2013. Jamani kazi ilikuwa ni project ambayo nilitakiwa kwenda kuripori mkoani tarehe 31 Jan, 2012. ilikuwa kazi ya kufundisha IT kwenye chuo flani Iringa. Project hiyo ilihusisha pande tatu, yaani kampuni iliyoniajiri na chuo ninachokwenda kufundisha na mimi mwajiriwa. Hivyo tar. 31 Jan, niliondoka na kwenda kuriport kituoni.
Nilivyofika ilionekana kwamba chuo hakikuwa na mpango wa kuendesha project hiyo kwa mwaka huu kutokana na sababu mbali mbali. Hivyo nilitoa taarifa ofisini kwangu (yaani kwenye kampuni iliyoniajiri) kuhusu yaliyotokea. Kwa kweli walinihudumia kwa kila kitu kuanzia nauli, chakula na malazi. Baada ya kutoa taarifa ofisi iliwasiliana na chuo kujua kulikoni na wakati huo nilisubiri takribani wiki moja na kidogo wakati nasubiri muafaka. hata hivyo ofisini wakanitaka nirudi kwanza ambapo nilirudi Jumamosi tar 11.2.2012 na kuripot ofisini jumatatu. hata hivyo wakaniambia j4 tar.14 kutakuwa na kikao. so niende baada ya kikao.
Baada ya kufika waliniambia kwa vile hali halisi nimeiona na nia ilikuwa ni njema tu ya kufanya kazi na mimi ila imekwama kama nilivyoona nikae tu nyumani kama watafikia mwafaka na chuo watanijulisha niende tena nikaripot kwa kazi kituoni la hasha nisubiri project nyingine itakayoanza mwezi wa tano vinginevyo nikipata kazi kabla ya mwezi wa tano niwajulishe ili watafute mtu mwingine.
Kuhusu mkataba wa sasa na kipindi chote tangu kuaza kwa mkataba hadi leo 14.02?? niliuliza, wakaniambia hali halisi yenyewe umeiyona tunaomba tu uchukuliane na sisi maana hatuna cha kukulipa.
MASWALI:
1. INGEKUWA NI WEWE UNGEFANYAJE KISHERIA NA AU KIBIDAMU??
2. SHERIA INASEMAJE JUU YA MWAJIRI KUVUNJA MKATABA WA MWAJIRIWA KABLA YA WAKATI KUISHA???
3. JE, KUNA FIDIA YEYOTE NINGEWEZA KUFIDIWA??
NAOMBENI MNISHAURI WADAU NA KAMA KUNA MASWALI PIA KWA MTIRIRIKO HUO MWAWEZA KUNIULIZA TU.
Nilivyofika ilionekana kwamba chuo hakikuwa na mpango wa kuendesha project hiyo kwa mwaka huu kutokana na sababu mbali mbali. Hivyo nilitoa taarifa ofisini kwangu (yaani kwenye kampuni iliyoniajiri) kuhusu yaliyotokea. Kwa kweli walinihudumia kwa kila kitu kuanzia nauli, chakula na malazi. Baada ya kutoa taarifa ofisi iliwasiliana na chuo kujua kulikoni na wakati huo nilisubiri takribani wiki moja na kidogo wakati nasubiri muafaka. hata hivyo ofisini wakanitaka nirudi kwanza ambapo nilirudi Jumamosi tar 11.2.2012 na kuripot ofisini jumatatu. hata hivyo wakaniambia j4 tar.14 kutakuwa na kikao. so niende baada ya kikao.
Baada ya kufika waliniambia kwa vile hali halisi nimeiona na nia ilikuwa ni njema tu ya kufanya kazi na mimi ila imekwama kama nilivyoona nikae tu nyumani kama watafikia mwafaka na chuo watanijulisha niende tena nikaripot kwa kazi kituoni la hasha nisubiri project nyingine itakayoanza mwezi wa tano vinginevyo nikipata kazi kabla ya mwezi wa tano niwajulishe ili watafute mtu mwingine.
Kuhusu mkataba wa sasa na kipindi chote tangu kuaza kwa mkataba hadi leo 14.02?? niliuliza, wakaniambia hali halisi yenyewe umeiyona tunaomba tu uchukuliane na sisi maana hatuna cha kukulipa.
MASWALI:
1. INGEKUWA NI WEWE UNGEFANYAJE KISHERIA NA AU KIBIDAMU??
2. SHERIA INASEMAJE JUU YA MWAJIRI KUVUNJA MKATABA WA MWAJIRIWA KABLA YA WAKATI KUISHA???
3. JE, KUNA FIDIA YEYOTE NINGEWEZA KUFIDIWA??
NAOMBENI MNISHAURI WADAU NA KAMA KUNA MASWALI PIA KWA MTIRIRIKO HUO MWAWEZA KUNIULIZA TU.