sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
20.3. The termination of the agreement requires prior consent from both State Parties, and such consent should not be unreasonably withheld.
Hapo ni kwamba hata huko mbele tukihitaji bandari yetu basi NI LAZIMA waarabu nao wakubali kwa hiari kuiacha bandari.
Mkataba hauwezi kuvunjwa uniletrally (kwa pande moja) NI LAZIMA uvunjwe bileterally (kwa pande zote 2)
Tutawezaje kukaa meza moja na waarabu wakubali kutuachia bandari yetu kwa hiari?
Tutawahonga mlima Kilimanjaro, mgodi wa Tanzanite au kuwapa mkoa wenye madini?
Hapo ni kwamba hata huko mbele tukihitaji bandari yetu basi NI LAZIMA waarabu nao wakubali kwa hiari kuiacha bandari.
Mkataba hauwezi kuvunjwa uniletrally (kwa pande moja) NI LAZIMA uvunjwe bileterally (kwa pande zote 2)
Tutawezaje kukaa meza moja na waarabu wakubali kutuachia bandari yetu kwa hiari?
Tutawahonga mlima Kilimanjaro, mgodi wa Tanzanite au kuwapa mkoa wenye madini?