Mkataba wa Dube Haupo kwenye mfumo wowote

Mbona mikataba ya hizi timu ukiondoa Simba inamashaka mashaka?

Mkataba wa messi ndio ulikuwa balaa simba, yaani jamaa alikuwa anapewa ugali na dagaa baada ya kuwasanua simba wakaja na mkataba wa uongo hata wa chief mangungo afadhali hahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…