N NgerukeAbra JF-Expert Member Joined Sep 5, 2022 Posts 1,336 Reaction score 2,008 Apr 18, 2024 #21 Aleyn said: Kwenye masuala ya fedha kamwe usimuamini mtu mweusi. Click to expand... Kweli kabisa!!
Nokla JF-Expert Member Joined Aug 12, 2012 Posts 3,190 Reaction score 1,774 Apr 18, 2024 #22 Kalpana said: Mbona mikataba ya hizi timu ukiondoa Simba inamashaka mashaka? Click to expand... Mkataba wa messi ndio ulikuwa balaa simba, yaani jamaa alikuwa anapewa ugali na dagaa baada ya kuwasanua simba wakaja na mkataba wa uongo hata wa chief mangungo afadhali hahahah
Kalpana said: Mbona mikataba ya hizi timu ukiondoa Simba inamashaka mashaka? Click to expand... Mkataba wa messi ndio ulikuwa balaa simba, yaani jamaa alikuwa anapewa ugali na dagaa baada ya kuwasanua simba wakaja na mkataba wa uongo hata wa chief mangungo afadhali hahahah